Upo?upo na wa Algeria au Ivorien?hahahaha hawa tembo bwana mara mbili wanaingia fainali halafu wanashindwa kunyanyua ndoo afadhali wakapumzike nyumbani
La tatu mwishoni kabisa. Ivory coast ndani ya Semi. Algeria pamoja ya kuwa ni timu bora(Fifa) ya Afrika hadi sasa wametolewa nje. Naona watalalamikia maamuzi ya refa, swala la ubaguzi wa rangi litaingizwa bila shaka
Upo?upo na wa Algeria au Ivorien?
Walalamike kwa lipi?
Game ilikua fair