TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,302
- 28,010
Sasa nitaangalia Semi bila presha. Hongera Ivory Coast, Drogba alikuwa alikuwa anawakata stimu sasa kiasi wanacheza kitimu.
Bila Nigeria afcon hainogi
Nimeangalia kwa muda mfupi (dk 20 hivi) nimeona kama vile refa alikuwa anapeta faulo kadhaa. Nadhani Algeria walizidiwa nguvu, mechi ilikuwa very physical, msuli wa Wapopo ulikuwa ngangari.
Nimeangalia kwa muda mfupi (dk 20 hivi) nimeona kama vile refa alikuwa anapeta faulo kadhaa. Nadhani Algeria walizidiwa nguvu, mechi ilikuwa very physical, msuli wa Wapopo ulikuwa ngangari.
Nami nitakuambia bila Egypt Afcon hainogi...
Ninyi timu yenu ya taifa inayotumia teknolojia ya siku hizi imefika wapi!! timu ya wachezaji wasio ingia msikitini wakakumbuka jihad??!, watu wengine bhana hovyo kabisa, hapa sisi tunawekena sawa kuhusu mambo ya mpira wewe na chuki zako dhidi ya waarabu peleka huko........Ilikuwa amsha popo mbaya. Hawa waarabu tatizo lao bado wanaenda msikitini kabla ya mechi wakija wanakumbuka kucheza kijihad kama vita kumbe teknolojia siku hizi haiitaji hilo. Unapigwa ukiwa mbaaliii
Ninyi timu yenu ya taifa inayotumia teknolojia ya siku hizi imefika wapi!! timu ya wachezaji wasio ingia msikitini wakakumbuka jihad??!, watu wengine bhana hovyo kabisa, hapa sisi tunawekena sawa kuhusu mambo ya mpira wewe na chuki zako dhidi ya waarabu peleka huko........
Wachingiaji kama wewe mkiwa wawili mnaweza kunifanya nilog out haraka manake mtanisababishia nitukane bure.....Na yule Juma Nyosso aliemtia dole Awadh Juma nae anacheza jihad kama vita!! au nae ni mwarabup??
Mkuu kua fair Egypt Algeria Civ wote cha mtoto kwa Nigeria
Ilikuwa amsha popo mbaya. Hawa waarabu tatizo lao bado wanaenda msikitini kabla ya mechi wakija wanakumbuka kucheza kijihad kama vita kumbe teknolojia siku hizi haiitaji hilo. Unapigwa ukiwa mbaaliii
Hao Nigeria wamechukua kombe hili mara ngapi hadi kuwa cha mtoto kwa Egypt?
We gahba usilete udini ukatusababishia ban
Nigeria super eagles Mara 3 na egypt sijui mara 3 nadhani
Mkuu Misri wakiwa katika ubora wao wameshabeba ndoo hii mara 7 na kuna wakati wamekuwa wakibeba back to back...
Nigeria wao wamebeba mara 3 pekee wakiwa nyuma ya Ghana na Cameroun wenye rekodi ya kubeba mara 4...
Nigeria walipata kuwa na bahati ya kizazi cha dhahabu kipindi cha mwaka 1993 hadi 1999, lakini wakaishia kubeba kombe mara moja tu...
Labda uniambie kuwa tumekosa mbwembwe za washangiliaji wa Kipopo nitakuelewa...
Mkuu Misri mara 7? Yaani ndio wamechukua mara nyingi kuliko timu zote Africa au?
lakini Nigeria chama langu nawakubali siku zote
Haswa, machafuko ya kisiasa nchini mwao yamewarudisha sana nyuma...
Hata vilabu vyao ndio vilivyo na mafanikio kuliko vilabu vyovyote Afrika...
Nigeria ni wazuri lakini mbwembwe nyingi kiasi wanakosa utaifa...
Kweli Naija mbwembwe sana nakumbuka 1998 worldcup tulipigwa na denmark 4 -1 kisa mbwembwe zilizidi... ila umenifungua sana kuhusu Misri kumbe kama sio machafuko kwao basi wangetisha mpaka leo... pamoja mkuu
Misri ni baba wa kila kitu kwa afrika kihistoria hadi nchi zinazojiita muunangano wa kiarabu, kisoka kuanzia vilabu hadi taifa na hata kihistoria na kiustaarabuHaswa mara 7...1957, 1959, 1986, 1998, 2006, 2008, 2010
Machafuko ya kisiasa nchini mwao yamewarudisha sana nyuma...
Hata vilabu vyao ndio vilivyo na mafanikio kuliko vilabu vyovyote Afrika...
Nigeria ni wazuri lakini mbwembwe nyingi kiasi wanakosa utaifa...