Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Christian Atsu anaipatia Ghana goli la 3 dakika ya 61.
 
Hii ndio game ambayo watu wengi wanaoipenda chelsea hasa wa afrika wataumia sana manake utafiti unaonesha watu wengi wanaoipenda chelsea wanaipenda sana ivory coast.

Banaipenda iendelee?
 
Hii faulo iliyopigwa kuelekea langoni kwa ghana wala sijaielewa kabisa, golikipa alidaka mpira wakat anauanza akautoa nje ya 18, refa akapuliza kipyenga kuonesha kuwa kipa alifanya makosa.
 
Nasubiri kwa hamu mechi ya Algeria na Ivory Coast...

Hii ya mwanzo ilikuwa changamsha genge tu...
 
FT Ghana 3-0 Guinea. Christian Atsu 2, Kwesi Appiah 1.
 
Nasubiri kwa hamu mechi ya Algeria na Ivory Coast...

Hii ya mwanzo ilikuwa changamsha genge tu...

Tena imenipotezea muda wangu bureeee........ ngoja nivutie pumzi game ya baadae. Kura yangu naitupa kwa Algeria.
 
Hii ndio game ambayo watu wengi wanaoipenda chelsea hasa wa afrika wataumia sana manake utafiti unaonesha watu wengi wanaoipenda chelsea wanaipenda sana ivory coast.

Chelsea kafikaje Africon ila kunatimu zenye mguso inafikia hatua inatajwa pasipo sababu well done the blues
 
Nafikiri wanaipenda sababu ikiendelea kubakia kwenye mashindano na Yaya na Bony wakiendelea kubaki AFCON,ndiyo neema kwa washindani wa Man City.
 
Nawapendaga sana the black starz,(Ghana) ninaimani mwaka huu watachukua kombe kama sio EQTg.Karibuni tubeti.
 
Back
Top Bottom