Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Utamaduni wa Ghana unaonekana mpaka kwenye mambo ya mpira, hawana ubishoo, wana uzalendo wa kweli, tofauti na timu zingine za kiafrika kusini mwa jangwa la Sahara.
 
_80591648_ivorycoastfan_getty.jpg
 
ngoja tuwaangalie hawa tembo na mbweha wa jangwani

Ningefurahi sana kama mbweha wa jangwani wangemnyofoa huyo tembo minyama minyama yake akarudi kwao na mifupa tu!
 
Ningefurahi sana kama mbweha wa jangwani wangemnyofoa huyo tembo minyama minyama yake akarudi kwao na mifupa tu!


hahahaha hawa tembo bwana mara mbili wanaingia fainali halafu wanashindwa kunyanyua ndoo afadhali wakapumzike nyumbani
 
AFCON figisufigisu hawachelewi kuwawekea Zengwe wamanga wa Jangwani
 
Bony baada ya walinzi wa Algeria kukaba kwa macho.Dakika ya 26 .
 
Wilfred bonny anaipatia ivory coast goli la kuongoza dakika ya 26, civ 1-0 alg
 
Back
Top Bottom