Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Hii panel ya TV Congo wamevaa marangi na studio yote marangi si mchezo.
 
Uzi umevamiwa na wachakachua ving'amuzi mpaka Watangazaji wameingia mitini wamesahau kututangazia Final score...
 
Uzi umevamiwa na wachakachua ving'amuzi mpaka Watangazaji wameingia mitini wamesahau kututangazia Final score...

Hao watangazaji wengi wao watapata wapi pa kuona na ku-update hizo scores kama stesheni walioitegemea UBC haioneshi?? Sio kila mtu ana DSTV nyumbani, ni mechi nyingi hizi, huwezi kwenda kila siku kibanda umiza kama mechi za epl ambazo ni weekend tu wakati unacho king'amuzi kinachohitaji kuweka tu frequency ili u-enjoy mpira wa afcon ukiwa nyumbani kwako! Alafu neno kuchakachua ni ZITO sana, kwani unapotafuta frequency za redio huwa unachakachua? Kilichofanyika hapa ni kutafuta frequency, sio kuchakachua!
Hapo UMEBUGI meeeeeeeeeen!!
 
Dk ya 4 Tunisia wananyimwa penalty ya wazi kabisa..mchezaji wa Zambia ameunawa mpira kwenye box
 
Nitawezaje kucheki live stream kwenye simu yangu?au hakuna uwezekano?

Natanguliza shukrani.
 
Mpaka sasa Zambia kumbe wakijaga bongo huwa wanatuonea huruma tu kutufunga.
 
Zambia wanajitahidi sijui lini bongo tutafikia kiwango hicho
 
Half time 0-0. Zambia wamecreat nafasi nyingi Ila wameshindwa kupata bao. Tunisia wanaonekana kuwa wazuri kwenye counter attack.
 
Nitawezaje kucheki live stream
kwenye simu yangu?au hakuna
uwezekano?
Natanguliza shukrani.
 
Aiseeeeeeeeeee uzi umedoda, ngoja niwawekee update kwa match za leo:

Algeria Vs Ghana, mechi imeisha kwa Ghana kuibuka na ushindi wa goal moja lililofungwa na nahodha Asamoah Gyan dakika ya 93. Hivi ni dakika ya 11 mechi baina ya Afrika kusini na Senegal inaendelea na matokeo bado milango migumu.
 
Aiseeeeeeeeeee uzi umedoda, ngoja niwawekee update kwa match za leo:

Algeria Vs Ghana, mechi imeisha kwa Ghana kuibuka na ushindi wa goal moja lililofungwa na nahodha Asamoah Gyan dakika ya 93. Hivi ni dakika ya 11 mechi baina ya Afrika kusini na Senegal inaendelea na matokeo bado milango migumu.

Na mimi nakuunga .... ni dk 15, RSA 0 - 0 SEN
 
Mechi za leo zimepoa sana .... ni dk 35, bado RSA 0 - 0 SEN
 
Back
Top Bottom