Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Wadau heb nisaidie basi na mie!
Toka mashindano haya yaanze naangali kupitia UBC katika king'amuzi cha Azam ile naona leo Wamebana.
Je kuna namna yoyote yakufanya nimeweze kupata hzo channel zingine wanazorusha AFCON 2015?
.
Nenda CRTV mambo poa!
 

Attachments

  • UC_Photo_001.jpg
    UC_Photo_001.jpg
    19.3 KB · Views: 115
Ndio, 'kinachakachulika', mi naangalia sasa kupitia Azam. Ni kamchakato kidogo kama ni mgeni, kuna uzi upo jukwaa la technology, gadget unaitwa elimu ya bure Azam Tv. Ukiusoma wote utapata cha kufanya. Kwa sasa muda mdogo, nikikuelekeza, mechi itakuwa ishaisha, kaisome ili mechi zijazo usikose!

mkuu barafuyamoto nimesoma ule uzi ila mpaka sasa sijapata ufumbuzi, ila kama utapata muda please try to share with me hayo mautundu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mbona mimi namba 4 na,5 nikibonyeza haisogei?

Ukifika kwenye 'satelite list' unatakiwa ubonyeze OK ili uingie box la ndani. Baada ya hapo ukitumi kitufe cha kuongeza sauti (>), zinasogea!
 
.
Nenda CRTV mambo poa!

najaribu hayo maujanja kama ilivyoelekezwa na bwana barafuyamoto ila inashindika na wala sioni hizo extra channel hata tu ile wanayoonyesha mpira.
Ninazoziona ni zile zile tu chaneli 62 za siku zote.
 
Last edited by a moderator:
Chanel za ziada hazikai kwenye chanel za kawaida. bonyeza ok halafu bonyesha kitufe cha kuongezea sauti ili kuziona chanel zilizoongezeka.

mie nikifanya hivyo naona panaandikwa "Radio Last" na kuona clouds fm, dw, magic fm, rfi, bbc na mcd.
Je tatizo liko wapi mkuu mkolaj?
 
Last edited by a moderator:
mie nikifanya hivyo naona panaandikwa "Radio Last" na kuona clouds fm, dw, magic fm, rfi, bbc na mcd.
Je tatizo liko wapi mkuu mkolaj?

Bonyeza tena hicho kitufe cha sauti (>). Kama zipo utaziona, Utaziona.
 
Last edited by a moderator:
najaribu hayo maujanja kama ilivyoelekezwa na bwana barafuyamoto ila inashindika na wala sioni hizo extra channel hata tu ile wanayoonyesha mpira.
Ninazoziona ni zile zile tu chaneli 62 za siku zote.

Okei, jaribu ebu kurudia mchakato ila . Nimeweka transponder na symbol rate nyingine.

Ngoja tuelekezane kidogo,
1. Menu
2. Shuka search kisha OK,
3. Shuka satelite list kisha OK
4. Ktk Eutelsat, bonyeza kitufe kuongeza sauti (>) ili usogee kulia,
5. Kisha bonyeza kitufe cha kijani kwenye remote yako ambacho kwenye tv ni (add), kwenye transponder weka namba 12054 , kwenye Symbol rate weka namba 29950, na kwenye polarization iwe 'V'. Baada ya hapo bonyeza OK kusave.baada ya hapo bonyeza menu, kisha nenda Auto search,
6. Bonyeza Ok. Angalia chaneli baada ya ku-search kama zimeongezeka.
Angalia wakati ina-search zitapatikana chaneli ngapi. Zikiwa zaidi ya 62, maana yake zimeongezeka. Jaribu tena! Mechi ya cameroon imeanza! Usiikose!
 
Last edited by a moderator:
najaribu hayo maujanja kama ilivyoelekezwa na bwana barafuyamoto ila inashindika na wala sioni hizo extra channel hata tu ile wanayoonyesha mpira.
Ninazoziona ni zile zile tu chaneli 62 za siku zote.

Okei, jaribu ebu kurudia mchakato ila . Nimeweka transponder na symbol rate nyingine.

Ngoja tuelekezane kidogo,
1. Menu
2. Shuka search kisha OK,
3. Shuka satelite list kisha OK
4. Ktk Eutelsat, bonyeza kitufe kuongeza sauti (>) ili usogee kulia,
5. Kisha bonyeza kitufe cha kijani kwenye remote yako ambacho kwenye tv ni (add), kwenye transponder weka namba 12054 , kwenye Symbol rate weka namba 29950, na kwenye polarization iwe 'V'. Baada ya hapo bonyeza OK kusave.baada ya hapo bonyeza menu, kisha nenda Auto search,
6. Bonyeza Ok. Angalia chaneli baada ya ku-search kama zimeongezeka.
Angalia wakati ina-search zitapatikana chaneli ngapi. Zikiwa zaidi ya 62, maana yake zimeongezeka. Jaribu tena! Mechi ya cameroon imeanza! Usiikose!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom