palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,463
angalau sasa tunaangalia mechi. Mali vs camerun
Jaluo Oyongo la Cameroon limefunga goli safi sana. Halafu naona wanna jaluo lingine golini
Wanaweza kufungwa hawa cote d'ivoire kwa huu mpira wao wanaocheza wa ki-father father
barafuyamoto
nimetengenza na kuappear kama hapo down ila hakuna extra channel na game nimekosa kuangalia labda tena kesho.
Kayoka
LNB Freq 9750-10600
DiSEqC None
LNB Power Auto
22K Auto
Switch Port OFF
Longitude East 5.0
Intensity ..................77%
Quality ..................40%.
hapo kwenye LNB frewuence unaweka zote hizo mbili au unachagua mojabarafuyamoto
nimetengenza na kuappear kama hapo down ila hakuna extra channel na game nimekosa kuangalia labda tena kesho.
Hao
Kayoka
LNB Freq 9750-10600
DiSEqC None
LNB Power Auto
22K Auto
Switch Port OFF
Longitude East 5.0
Intensity ..................77%
Quality ..................40%.
.samahani ni channel namba ngapi katika king'amuzi chako cha azam?
Hebu nisaidie hapo kwebye NLB Frequence unaweka zote hizo mbili au unachagua moja?.
Ebu fuata maelekezo ya Barafuyamoto hapo juu mambo yako vizuri kabisa wala hutajuta; ni FTA channel utakazopata na zinaonesha vizuri kabisa.
Hebu nisaidie hapo kwebye NLB Frequence unaweka zote hizo mbili au unachagua moja?
Thanks Man imekubali, ila ndo hivyo kusikiliza kifaransa, hivi hakuna inayotangaza kiingereza?Unaweka zote mbili, ila hauiweki manually, unatumia mishale ya < au > kuchagua namba hizo za NLB freq. NLB freg zimeshawekwa sasa wewe unatakiwa kuchagua kwa kutumia hiyo mishale freq uitakayo.
Thanks Man imekubali, ila ndo hivyo kusikiliza kifaransa, hivi hakuna inayotangaza kiingereza?
Mkuu wewe angalia game kama ni uchambuzi hata wewe unaweza kuchambua.Thanks Man imekubali, ila ndo hivyo kusikiliza kifaransa, hivi hakuna inayotangaza kiingereza?
Hawa wagabon wanajituma haswa, nadhan kuna kitu wanakitafuta kwenye haya mashindano.
Thanks Man imekubali, ila ndo hivyo kusikiliza kifaransa, hivi hakuna inayotangaza kiingereza?