Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Wadau heb nisaidie basi na mie!
Toka mashindano haya yaanze naangali kupitia UBC katika king'amuzi cha Azam ile naona leo Wamebana.
Je kuna namna yoyote yakufanya nimeweze kupata hzo channel zingine wanazorusha AFCON 2015?
 
kwa sisi wa DSTV tuliolipia kifurushi cha access (17,000) mnatusaidiaje wadau? nasi tunahitaji kuangalia AFCON ila uwezo nao wa kifedha si mzuri. ujuzi wenu huo mtupatie na sisi pia. tunajua mmepata kwa gharama ,ila mtusaidie bure tu. halafi sisi tutawabariki kwa mibaraka kibao.

Kwa DSTV, kutokana na mtaalamu aliyetupa hizi frequence humu JF jukwaa la technology, elimu ya bure Azam tv, alisema DSTV decoder haziwezi 'kuchakachulika'!
 
Kipindi cha pili kinaanza, mngwe ya lala kwa buriani...... Ivory coast 0-1 Guinea
 
Kwa DSTV, kutokana na mtaalamu aliyetupa hizi frequence humu JF jukwaa la technology, elimu ya bure Azam tv, alisema DSTV decoder haziwezi 'kuchakachulika'!

mkuu barafuyamoto vp kuhusu king'amuzi cha Azam kinaweza kuchakachuliwa na kupata hzo channel mnazofaidi wenzangu huko?
Namiss sana kuiona AFCON 2015.
 
Last edited by a moderator:
mkuu barafuyamoto vp kuhusu king'amuzi cha Azam kinaweza kuchakachuliwa na kupata hzo channel mnazofaidi wenzangu huko?
Namiss sana kuiona AFCON 2015.

Ndio, 'kinachakachulika', mi naangalia sasa kupitia Azam. Ni kamchakato kidogo kama ni mgeni, kuna uzi upo jukwaa la technology, gadget unaitwa elimu ya bure Azam Tv. Ukiusoma wote utapata cha kufanya. Kwa sasa muda mdogo, nikikuelekeza, mechi itakuwa ishaisha, kaisome ili mechi zijazo usikose!
 
Last edited by a moderator:
Red card kwa Gervinho wa Ivory Coast baada ya kumpiga Keita wa Guinea Dakika ya 57.
 
Kadi nyekundu kwa Gervinho kwa kumzaba kibao mchezaji wa guinea bila sababu.
 
Dakika ya 60 Traore kidogo aipatie Guinea goli la pili baada shuti lake kali la mguu wa kushoto kugonga mwamba na kutoka nje.
 
Kalou wa Ivory Coast ametoka ameingia Seydou Doumbia dakika ni 64.
 
Mchezaji Florian Pogba wa Guinea ni ndugu na kiungo maarufu Paul Pogba wa Juventus na timu ya taifa ya Ufaransa.
 
Dakika ya 60 Traore kidogo aipatie Guinea goli la pili baada shuti lake kali la mguu wa kushoto kugonga mwamba na kutoka nje.

Wanaweza kufungwa hawa cote d'ivoire kwa huu mpira wao wanaocheza wa ki-father father
 
Guinea wanafanya mabadiliko anatoka Isiaga anaingia Razzaqui.
 
mkuu barafuyamoto vp kuhusu king'amuzi cha Azam kinaweza kuchakachuliwa na kupata hzo channel mnazofaidi wenzangu huko?
Namiss sana kuiona AFCON 2015.

Ngoja tuelekezane kidogo, 1. Menu 2. Shuka search kisha OK, 3. Shuka satelite list kisha OK 4. Ktk Eutelsat, bonyeza kitufe kuongeza sauti (>) ili usogee kulia, 5. Kisha bonyeza kitufe cha kijani kwenye remote yako ambacho kwenye tv ni (add), kwenye transponder weka namba 12728 , kwenye Symbol rate weka namba 30000, na kwenye polarization iwe 'H'. Baada ya hapo bonyeza OK kusave.baada ya hapo bonyeza menu, kisha nenda Auto search, 6. Bonyeza Ok. Angalia chaneli baada ya ku-search kama zimeongezeka.
 
Last edited by a moderator:
Dakika ya 72 Seydou Doumbia anaipatia Ivory Coast goli la kusawazisha.
 
Dah nimefika gheto nawasha Azam TV nakuta access access restricted.
 
Seydou ameleta uhai kwenye fowadi ya Ivory baada ya kuchukua nafasi ya Kalou.
 
Ngoja tuelekezane kidogo, 1. Menu 2. Shuka search kisha OK, 3. Shuka satelite list kisha OK 4. Ktk Eutelsat, bonyeza kitufe kuongeza sauti (>) ili usogee kulia, 5. Kisha bonyeza kitufe cha kijani kwenye remote yako ambacho kwenye tv ni (add), kwenye transponder weka namba 12728 , kwenye Symbol rate weka namba 30000, na kwenye polarization iwe 'H'. Baada ya hapo bonyeza OK kusave.baada ya hapo bonyeza menu, kisha nenda Auto search, 6. Bonyeza Ok. Angalia chaneli baada ya ku-search kama zimeongezeka.

Mkuu ziko vilevile.
 
Back
Top Bottom