Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Pambafu kabisa. Wacha wakong'olewe.Hii mechi ilikuwa ya kwao.
 
viva algeria leo ninalala roho nyeupee! Ghana kafungwa na south afrika kafungwa! Raha miee!
 
Wameshabana, UBC wamewabania Azam. Ila yele mautundu ya frequencies ndo yanafanya kazi sasa!

Kweli mkuu!
RTVGE kuna marudio ya Zambia na Congo DRC, mii nipo CRTV nakula game ya Ivor coast na Guinea!
 
Kweli mkuu!
RTVGE kuna marudio ya Zambia na Congo DRC, mii nipo CRTV nakula game ya Ivor coast na Guinea!

Sawa kabisa, kuna chaneli tatu wanaonyesha live, issue lugha wanatumia kifaransa, lakini football tuna lugha moja tu! Mpira unaeleweka!
 
Sawa kabisa, kuna chaneli tatu wanaonyesha live, issue lugha wanatumia kifaransa, lakini football tuna lugha moja tu! Mpira unaeleweka!

wajinga sana na kifaransa chao! Channel ya 3 ni ipi mkuu? Maana ubc washazingua, wamewakazia Azam! Mii nimebaki na rtvge na crtv
 
wajinga sana na kifaransa chao! Channel ya 3 ni ipi mkuu? Maana ubc washazingua, wamewakazia Azam! Mii nimebaki na rtvge na crtv

Dah! Samahani, sikusoma post yako ya juu vizuri, pia nilipita tvge fasta kumbe wanarudia wa Zambia. Ni chanel 2 kama ulivyosema hapo juu ndo wako live, sio 3! Alafu hawa crtv na tv congo hawana replays au!
 
wajinga sana na kifaransa chao! Channel ya 3 ni ipi mkuu? Maana ubc washazingua, wamewakazia Azam! Mii nimebaki na rtvge na crtv
Tv congo na crtv kwa hewa muda huu,
dak ya 27 civ 0-0 guinea
 
Game bado haina msisimuko kabisa, ivory coast 0-0 guinea dk ya 32.
 
kwa sisi wa DSTV tuliolipia kifurushi cha access (17,000) mnatusaidiaje wadau? nasi tunahitaji kuangalia AFCON ila uwezo nao wa kifedha si mzuri. ujuzi wenu huo mtupatie na sisi pia. tunajua mmepata kwa gharama ,ila mtusaidie bure tu. halafi sisi tutawabariki kwa mibaraka kibao.
 
GOOOOOOOOL!!! Hatari sana kudadeki walahi, bonge la goli Yattara anaipatia Guinea la kuongoza. Ivory coast 0-1 Guinea.
 
kwa sisi wa DSTV tuliolipia kifurushi cha access (17,000) mnatusaidiaje wadau? nasi tunahitaji kuangalia AFCON ila uwezo nao wa kifedha si mzuri. ujuzi wenu huo mtupatie na sisi pia. tunajua mmepata kwa gharama ,ila mtusaidie bure tu. halafi sisi tutawabariki kwa mibaraka kibao.
Kuhusu dstv sijui tukusaidiaje!! ingekuwa azamtv tungekupa maujuzi ya kuongeza chanel za ziada.
 
Back
Top Bottom