Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Sauzi wamecharuka na wanacheza mpira wenye macho na uelewano mkubwa.
 
Duh! South wanapiga soka hatari, nimejikuta nawashabikia bila kupenda!
 
Algeria wanasawazisha baada ya beki wa Sauzi kujifunga kwa kichwa akijaribu kuokoa krosi kutoka winga ya kushoto.Dakika ya 68.
 
naangalia mechi ya Algeria vs S.Africa kupitia UBC ila mbona sioni wakifanya replay yoyote!! .
kwa mfano kama goli likiingia na hujaona wakati linafungwa hawarudii tena kuonyesha jinsi lilivyofungwa, sijui tatizo ni nini?
 
Ni chaneli gani UBC wananasa matangazo yao? Hawana replay! Ukikosa imekula kwako! Duh! Hata Azam kwenye VPL wanawekaga replays!
 
naangalia mechi ya Algeria vs S.Africa kupitia UBC ila mbona sioni wakifanya replay yoyote!! .
kwa mfano kama goli likiingia na hujaona wakati linafungwa hawarudii tena kuonyesha jinsi lilivyofungwa, sijui tatizo ni nini?

Kumbe na wewe umeona eh!
 
ila Algeria wanaweza kupata tena goli la 3 kwa sababu hawa watoto wa Mandela hawana umakini hasa sehemu ya defence.
 
South Africa wanaadhibiwa hii mechi kwa kukosa umakini...

Wameshambulia sana, wametengeneza nafasi nyingi za kufunga lakini mwisho wa mechi watafungwa wao...
 
Back
Top Bottom