Miss Halima
JF-Expert Member
- Aug 4, 2026
- 302
- 644
Sasa kunyonya shingo ina raha gani kwa Mwanaume?Na wengine wananyonya utadhani ni ma vampire😌
Huyo hapigi povu!Kuna demu niliwahi kujaribu kumnyonya shingoni... Aiseee
Shingo ilikuwa chachu kama terminal za betrii
Kuna wengine hisia zao zipo shingoni😀😀😀ukiikalia kwa juu halafu ukimlalia kifuani na kumkiss kiss shingoni anamwaga hadi dhambi na anapiga nduru kabisa.Sasa kunyonya shingo ina raha gani kwa Mwanaume?
Si bora kunyonya ile engine yenyewe angalau utapata madini ya Chumvi,
Au nasema uongo ndugu wananchi?
Love bite hiyo papi 😅Waseme tu alimng'ata. Wasipumguze ukali wa maneno.
... vijana wamezidi mno kuleta uvumbuzi kwenye vitu simpo na vinavyojiongoza vyenyewe, mara wengine wawakabe wenza wao kiasi cha kutaka hata kuwaua eti wanaongeza 'MAUTAMU'!
UJINGA MZIGO!
Kuna demu niliwahi kujaribu kumnyonya shingoni... Aiseee
Shingo ilikuwa chachu kama terminal za betrii
Na wengine wananyonya utadhani ni ma vampire😌
Aisee, it's a very rare case lakini inatokea. Sio kwamba kila hickey inaua, hapana. Ila huyu mshkaji alipata ile inayoitwa trauma to the artery. Yaani huyo mwanamke alimnyonya kwa nguvu mpaka akaharibu mshipa wa ndani. Bahati mbaya iliyoje!