Afariki baada ya kupeleka vifaa vya ujenzi Kanisani

Afariki baada ya kupeleka vifaa vya ujenzi Kanisani

Joined
Jun 3, 2014
Posts
63
Reaction score
68
Ni mwenyekiti wa kamati ya ujenzi Marehemu Elizabeth Samanyeta almaarufu kwa jina la Mama almas amefariki dunia jana Jioni, Mama almas alikua mwenyekiti wa kamati ya Ujenzi katika kanisa la Moravian Tanzania ushirika wa Morogoro mjini, pia alowahi kua Mlezi wa idara ya vijana Morogoro mjini, kifo hicho kimetokea jana, kabla ya kufikwa na mauti hayo, mida ya saa 6 mchana alipeleka vifaa vya ujenzi kanisani hapo, na baadaye kidogo kujisikia vibaya, baada ya kumkimbiza hospital saa 10 jioni akaaga dunia.

Pia kabla ya hapo inasemekana Mwenyekiti wa eneo la misheni Morogoro Mchungaji Mwakalile alimuomba kuwepo siku ya tar 10 April siku ambayo kutakua na imarisha area mishen, Marehem alimjibu Mchungaji kua sitakuwepo, Mungu amhifadhi mahala panapostahili, Amen.
 
sababu ya kifo ni nini sasa? sijaelewa ni kupeleka vifaa au kusema hatokuwepo tarehe 10
 
Kujisikia vibaya na kisha kufariki, kuna uhusiano wowote na yeye kupeleka vifaa kanisani? Sijaelewa huu uzi unasuggest nini
na pia kuna uhusiano wowote na yeye kutokuwepo hiyo tar 10 kwenye mwaliko?
 
Ni mwenyekiti wa kamati ya ujenzi Marehemu Elizabeth Samanyeta almaarufu kwa jina la Mama almas amefariki dunia jana Jioni, Mama almas alikua mwenyekiti wa kamati ya Ujenzi katika kanisa la Moravian Tanzania ushirika wa Morogoro mjini, pia alowahi kua Mlezi wa idara ya vijana Morogoro mjini, kifo hicho kimetokea jana, kabla ya kufikwa na mauti hayo, mida ya saa 6 mchana alipeleka vifaa vya ujenzi kanisani hapo, na baadaye kidogo kujisikia vibaya, baada ya kumkimbiza hospital saa 10 jioni akaaga dunia.

Pia kabla ya hapo inasemekana Mwenyekiti wa eneo la misheni Morogoro Mchungaji Mwakalile alimuomba kuwepo siku ya tar 10 April siku ambayo kutakua na imarisha area mishen, Marehem alimjibu Mchungaji kua sitakuwepo, Mungu amhifadhi mahala panapostahili, Amen.
R i p
 
Pia kabla ya hapo inasemekana Mwenyekiti wa eneo la misheni Morogoro Mchungaji Mwakalile alimuomba kuwepo siku ya tar 10 April siku ambayo kutakua na imarisha area mishen, Marehem alimjibu Mchungaji kua sitakuwepo, Mungu amhifadhi mahala panapostahili, Amen.
Hivi kanisa la Moravian halina wachungaji ambao sio wanyakyusa? Naona kila makanisa ya Moraviani ukienda wachungajinni hao hao akina mwanahiii...

Hata lile kanisa la Moravian waliojitenga linaongozwa na Askofu Mwamakula wa Chadema yule aliyekuwa akizurura na Lisu kampeni 2015
 
Hivi kanisa la Moravian halina wachungaji ambao sio wanyakyusa? Naona kila makanisa ya Moraviani ukienda wachungajinni hao hao akina mwanahiii...

Hata lile kanisa la Moravian waliojitenga linaongozwa na Askofu Mwamakula wa Chadema yule aliyekuwa akizurura na Lisu kampeni 2015
Asilimia kubwa hili kanisa waanzilishi Ni Wanyakyusa, Kama ilivyo kwa Anglikana wengi ni Wagogo.
 
Asilimia kubwa hili kanisa waanzilishi Ni Wanyakyusa, Kama ilivyo kwa Anglikana wengi ni Wagogo.
Anglican imechanganya.wachungaji toka Tanga ,njombe,Dodoma,na mikoa ya kusini
 
Ni mwenyekiti wa kamati ya ujenzi Marehemu Elizabeth Samanyeta almaarufu kwa jina la Mama almas amefariki dunia jana Jioni, Mama almas alikua mwenyekiti wa kamati ya Ujenzi katika kanisa la Moravian Tanzania ushirika wa Morogoro mjini, pia alowahi kua Mlezi wa idara ya vijana Morogoro mjini, kifo hicho kimetokea jana, kabla ya kufikwa na mauti hayo, mida ya saa 6 mchana alipeleka vifaa vya ujenzi kanisani hapo, na baadaye kidogo kujisikia vibaya, baada ya kumkimbiza hospital saa 10 jioni akaaga dunia.

Pia kabla ya hapo inasemekana Mwenyekiti wa eneo la misheni Morogoro Mchungaji Mwakalile alimuomba kuwepo siku ya tar 10 April siku ambayo kutakua na imarisha area mishen, Marehem alimjibu Mchungaji kua sitakuwepo, Mungu amhifadhi mahala panapostahili, Amen.
Hakuna sehemu yenye washirikina wengi kama kanisani. Wanataka fursa
 
Asilimia kubwa hili kanisa waanzilishi Ni Wanyakyusa, Kama ilivyo kwa Anglikana wengi ni Wagogo.
Wanyakyusa alafu na wanyamwezi na KKKT limewachomoa sana waumini wa Morovian na Anglican miaka ya nyuma kwa kuwa kuna mikoa mingine miaka ya nyuma unakuta kanisa hilo linakuwa halipo inabidi wasali KKKT
 
Back
Top Bottom