KISS 100
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 525
- 1,100
Salam,Mzee mmoja Leo mchana alikua anapunguza matawi ya miti Huku Arusha.
Mvua zinaendelea kunyesha huku na hivyo majani na magamba ya miti yana maji.
Wakati anakata matawi alipigwa shoti na kufariki.Tuchukue tahadhari Kipindi hiki Cha mvua. Usiguse miti ambapo nyaya za umeme zimekatiza
Mvua zinaendelea kunyesha huku na hivyo majani na magamba ya miti yana maji.
Wakati anakata matawi alipigwa shoti na kufariki.Tuchukue tahadhari Kipindi hiki Cha mvua. Usiguse miti ambapo nyaya za umeme zimekatiza