Afanyeje ili amnusuru mwanae asiwe hanithi?

Afanyeje ili amnusuru mwanae asiwe hanithi?

Mila nyingi na desturi ni mpango wa adui kuabudu miungu haku a lolote !
Na hiki ni kifungo kikubwa sn!
Ndo maana kizazi cha ss kinapigika sbb wanekiuka /wamekataa kuabudu miungu kupitia hizo mila za kishenzi!

Kuna wengine wamepuuzia tu,kuna wengine qamwamua ku.geukia Mu gu wa kweli ndo maana wanapigwa!
Biblia imekataza na solution ipo kwa Mungu peke ake!
mkuu,,ukimwamini Mungu saaan bila kufanya kazi utakula?
mkuu.,, ukimwamini Mungu saaan bila kusoma utaelimika?
Ya Mungu mpe Mungu, ya Kaisari...
 
Niliwahi kusikia mahali kua dawa nyingine ni mama apande darini bila mtoto kujua amwite ajidai anahitaji ampe kitu ambacho kipo chini mama akae uchi mtoto akitazama juu akishtuka kuona mama yake yupo uchi hio ndo tiba yake..mtoto hatakiwi kujua kwani akijua hatashtuka..kushtuka ndo dawa yake.
Mmh!
 
Mkuu hakuna hadithi ktk hili hili ni tukio la kweli

Kuhusu hoja yako ambayo umehoji alifanya mapenzi na nani na akajijua hadindishi ni hoja dhaifu kwa kua mtoto wa kiume huitaji mpaka uione papuchi ndio usimamishe na kwa faida kuna watu walianzia kwenye masturbation yawezekana akapata muhemko na uume ukasimama na akajichua shughuli ikaishia hapo

Kuhusu alianzaje kumwambia mama yake kua hadindi,kumbuka mama ana historia ya kilichotokea japo alikua haamini sana ndio mana hakufanya hiko kitendo kwa muda tu hivyo hata yeye lazima awe na ham ya kujua ni kweli ama la kile anachokiamini hivyo anaweza kumtumia mumewe na akapata mrejesho mzuri tu
Huu ni upuuzi tu tena upuuzi wa kiwango cha lami. Kwa maelezo yako inaonekana kabisa wewe ni kitoto cha "form two". Na hii ndiyo shida ya Jamii Forumu kwa sasa; imejaa vitoto vya sekondari ndiyo maana hoja za kipuuzi na hovyo hovyo zimejaa humu ndani.
Kwa hiyo unataka kutuambia kuwa huyo dogo alifanya mustabation na alipoona yeye ni hanithi akaenda kumwambia mama yake??? Pathetic.
 
Mila nyingi na desturi ni mpango wa adui kuabudu miungu haku a lolote !
Na hiki ni kifungo kikubwa sn!
Ndo maana kizazi cha ss kinapigika sbb wanekiuka /wamekataa kuabudu miungu kupitia hizo mila za kishenzi!

Kuna wengine wamepuuzia tu,kuna wengine qamwamua ku.geukia Mu gu wa kweli ndo maana wanapigwa!
Biblia imekataza na solution ipo kwa Mungu peke ake!
Njoo inbox dada
 
Apige maombi, na ampeleke mtoto kwenye maombi. Hayo ya kukutanisha sehemu za siri za mama na mtoto ni kumwongezea mtoto laaana.

Aende kwa Yesu atamponya.
 
Hizo ni stori za kale za mababu na lengo lilikuwa ni kuwafanya kina mama kuwa makini na maendeleo ya watoto wao hasa eneo hilo la kitovuni ambapo sote tunajua madhara yake kama mama anakuwa sio mtu wa kujali.
Wao walishaishi maisha yao sasa itashangaza kwa dunia ya leo kama bado watu wataendelea kuamini mambo hayo.
Elewaa tatzo sio maendeleo ya kitovu... tatizo ni kitovu kudondokea kwenye dyudyu...!!
 
mkuu,,ukimwamini Mungu saaan bila kufanya kazi utakula?
mkuu.,, ukimwamini Mungu saaan bila kusoma utaelimika?
Ya Mungu mpe Mungu, ya Kaisari...
Kwani Mungu kasemaje?labda hujui,Mungu naemuabudu ameyasema yote....
Mbona biblia ipo wazi....biblia inasema...

Asiye fanya kazi na asile....

Biblia pia inasema"mkamate sana elimu usimwache aende zake......

Ndo Mungu huyuhuyu !
Shida ni kuwa hakuna maarifa,hamsomi biblia,hamtaki kujifunza!

Inshort biblia ina kila tu na hata hili ni la Mungu sio kaisari,but watu mmefungwa ufahamu
 
yaani ni hivi atafute pombe kali anywe yeye alewe na mwanae ampe vallium za kufa mtu ili wadendeke mtoto akiwa hana fahamu namama pia kuondoa medula obrongata kwa tungi ili mtoto apone other wise mtoto atakuwa mrithi wa kaoge.
ushauri wa chizi uzingatiwe
Sio hivyo. Inatakiwa iwe kwa akili Timamu mtoto akistuka tu ndo dawa
 
Kwani Mungu kasemaje?labda hujui,Mungu naemuabudu ameyasema yote....
Mbona biblia ipo wazi....biblia inasema...

Asiye fanya kazi na asile....

Biblia pia inasema"mkamate sana elimu usimwache aende zake......

Ndo Mungu huyuhuyu !
Shida ni kuwa hakuna maarifa,hamsomi biblia,hamtaki kujifunza!

Inshort biblia ina kila tu na hata hili ni la Mungu sio kaisari,but watu mmefungwa ufahamu
duh! ndio maana dunia ina shida..!!
 
Hii sayansi ni ngumu kumeza,

Naifananisha na ile ya kusahidia mche wa mpapai dume kuzaa matunda kwa kufungia gunzi la mhindi au kugongelea msumali.

Fedhea kubwa sana mtoto kuliona lango alilo tokea na hatimaye kuligusa kabisa!

Kama vipi watumie ile njia ya wahenga kwamba mwanaume hasipo weza kusimamisha basi atatakiwa kuzibuliwa mtaro na mbuzi, akimwingizia anapona uhanisi.
 
Back
Top Bottom