uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,454
- 2,242
Mmejaribu kotekote adi kwa dr mshana mmeshindwa?
Kwa lugha nyepesi trump alitaka kusema "ASS HOLE".MKWEPA KODI unajua maana ya shithole? shithole maana yake ni MK4NDU na sio shimo la choo kama wanavyofasiri baadhi ya watu wasiojua ilmu ya tarjama (translation) sikushauri kumsupport TRUMP
Pothole, asshole au shithole. Mbona pothole ni poa tu.? Ila baba shithole au asshole ngumi zinapigwaPothole thread
Ndo maana na mm najiuliza pia ila kwa story za toka enzi inabidi kutake precautionUnaweza nipa ABC nini hutokea kinapoangukia kweny dushe? Kuna nguvu gani?
Ni kweli ni sawa sijui wanaita kumbemenda mtoto. Ila kazi ipoNdo maana na mm najiuliza pia ila kwa story za toka enzi inabidi kutake precaution
Habari za mwanzo wa juma wanajamvi
Kuna tamaduni km sio mila japo sina uhakika km ni kwa makabila yote ama ni baadhi hususani kwa hapa TZ ya kwamba pindi mtoto anapozaliwa mzazi inabidi awe makini wakati kitovu kitakapoachia kisiangukie sehemu ya uume kwa mtoto wa kiume na kisiangukie sehem ya uke kwa mtoto wa kike endapo hilo litajitokeza kuna uwezekano mkubwa kwa mtoto wa kike asipate mtoto na kwa mtoto wa kiume nae asipate mtoto au hata atakapobaleh uume wake hautaweza kusimama.
Sasa kilichotokea ktk hii family historia inaonesha huyu mama mwanae wa kiume kitovu kiliangukia ktk sehem yake ya uume na ushauri aliokua anapewa ni achukue uume wa mwanae na kukutanisha na uke wake basi tatizo litakua limeisha.Ila kwa kipindi chote hicho mama alikua anaona ni kitu kisichowezeka na kupotezea kwa kua mtoto bado alikua mdogo.
Maisha yamesonga na mtoto amebalehe lakini kwa babu hamna maajabu yaani uume hausimami na mama mtu kahangaika sana kwa madaktari anàambiwa mtoto hana tatizo na akiangalia upande wa pili kwenye mambo ya kienyeji anaambiwa hakuna dawa zaidi ya kuchukua utupu wa mwanae na kukugusanisha na uke wake ikizingatiwa mwanae ameshakua na yeye mtoto ameanza kupata stories kwamba dawa ni afanye hilo tukio mama yake.Na mama MTU anajutia kwa dharau zake toka mtoto akiwa mdogo angeweza kufanya hilo na mambo yangeisha kimya kimya ila kwa sasa story zimezagaa kitaa na ikitokea mtoto akawa fresh bas kitaa kitajua kwamba bi mkubwa kashafanya yake na mtoto ndio ivo nae muda wote kakaa kinyonge.
Mdingi nae yupo haelewi afanye nini nimeuleta uzi kwenu wana JF nikiamini anaweza pata ushauri utakaomvusha ktk huu mtihani
Haa ha ha ha ha..wee mkuu falaa sanaa..!!Au mama apewe dawa ya usingizi mtoto agusishe
Mmh...aisee inawezekana...!!Mimi kuna inshu kama hiyo nilihadithiwa namjomba wangu kuwa palikuwa nakijana mwenye hali kama hiyo kijijini kwao huko nakijana alikuwa kishakuwa mkubwa kabisa miaka sio chini ya 28 mama mtu akawa anawaza aaanzaje kumfanyia mtoto wake kitendo kama hicho, wanandugu wakashauriana chini kwa chini kuwa wampe kijana pombe bila yayeye kujua dhumuni lakupewa pombe nakweli kijana akapewa pombe nakwabahati nzuri alikuwa nimtumiaji kiasi japo sio sana naalipoona nizabure akanywa zaidi kwahiyo lengo likawa limetimia mama mtu akamchojolea mwanae uchi akagusanisha. Tokea hapo kijana akawa vzr akawa ndio kama kabalehe akaanza kuwatembezea wanakijiji wenzake mpini wamaana naakaoa nawatoto juu,
NB: nilisimuliwa namjomba wangu sio kama nilishuhudia jaman
Maisha yako yotee Jua kuwa kuna milaa na desturi ambazo ukiend kinyume nazoo hakikaa yatakukuta majangaa...na solution yake pia ipo kwa baadhi ya mambo kama hili..!!Hakuna kitu km hicho!
Shetani mshenzi sn,anachotaka hapo ni kupandikiza zinaa miongoni mwa ndugu!
Aende kwa watumishi wa Mungu akafunguliwe tu,ni mambo ya mila ambazo adui anazitumia kupiga familia
.... hapa watu wanaleta ushabiki mpaka basi, dawa zingine ziko kama mtu kuacha laana'' ni maneno tu lakini yana athari kubwa.Ukweli huwa hivyo na mambo huwa shwari, tatizo jamii hii inajitia ujuaji na haina siri.
Kuamini kwako usijekujaribu kwa mwanaoo...!! Imani kitu kibayaa sanaa...Hivi ile ishu ya kudondokea kitovu ni kweli kabisa miye siamini ?
duh! huamini ila iko makini!!!Mhhhhhh hivi ni kweli??? Japo siamini ila.huwa niko makini kweli kuangalia kitovu kikikauka kisije angukia hapo kwa babu
Mila nyingi na desturi ni mpango wa adui kuabudu miungu haku a lolote !Maisha yako yotee Jua kuwa kuna milaa na desturi ambazo ukiend kinyume nazoo hakikaa yatakukuta majangaa...na solution yake pia ipo kwa baadhi ya mambo kama hili..!!
Sikataii lakini bhasi kama.huamini ebuu ukizaa mwanao jaribu hilii jambo afuu utapata Jibu...!! Afuu ulete na mrejesho kama Mungu atatupa uhaii panapo majaliwa...Mila nyingi na desturi ni mpango wa adui kuabudu miungu haku a lolote !
Na hiki ni kifungo kikubwa sn!
Ndo maana kizazi cha ss kinapigika sbb wanekiuka /wamekataa kuabudu miungu kupitia hizo mila za kishenzi!
Kuna wengine wamepuuzia tu,kuna wengine qamwamua ku.geukia Mu gu wa kweli ndo maana wanapigwa!
Biblia imekataza na solution ipo kwa Mungu peke ake!
Hahaha ha haaaaaAupitishe tu kama ndio dawa..au wamesema aingize kabisa??