Afanyeje ili amnusuru mwanae asiwe hanithi?

Afanyeje ili amnusuru mwanae asiwe hanithi?

Wampigee dawa ya usingizi huyo mtoto afuu mama akee agusanishee then akipona watawaambia watu kuwa walitibu hospital... huyo mama atafutee tu vidongee vya usingizi mbonaa vipopo agusanishee mpaka bhasiii...
Au mama apewe dawa ya usingizi mtoto agusishe
 
Halafu Trump akisema afrika ni shithole tunapiga makelele utadhani tumedhulumiwa dhahabu tani kadhaa kumbe ni mambo yetu haya ya karne ya Tatu
Akisema mkapa ndo tunachukia...trump tunamsifia hatuna shida sisi
 
Mhhhhhh hivi ni kweli??? Japo siamini ila.huwa niko makini kweli kuangalia kitovu kikikauka kisije angukia hapo kwa babu
 
Na mwanangu wa kike akiwa hazai kwa hiyo inabidi niupitishe kwenye papuchi yake!
Haya matiba mengine unaweza kuona ndugu wanakukamata, kukufunga kamba na kukupeleka Mirembe kwa kujua tayari dishi limeyumba kumbe ulikuwa na nia nzuri tu kwa mwanao
 
Mimi kuna inshu kama hiyo nilihadithiwa namjomba wangu kuwa palikuwa nakijana mwenye hali kama hiyo kijijini kwao huko nakijana alikuwa kishakuwa mkubwa kabisa miaka sio chini ya 28 mama mtu akawa anawaza aaanzaje kumfanyia mtoto wake kitendo kama hicho, wanandugu wakashauriana chini kwa chini kuwa wampe kijana pombe bila yayeye kujua dhumuni lakupewa pombe nakweli kijana akapewa pombe nakwabahati nzuri alikuwa nimtumiaji kiasi japo sio sana naalipoona nizabure akanywa zaidi kwahiyo lengo likawa limetimia mama mtu akamchojolea mwanae uchi akagusanisha. Tokea hapo kijana akawa vzr akawa ndio kama kabalehe akaanza kuwatembezea wanakijiji wenzake mpini wamaana naakaoa nawatoto juu,

NB: nilisimuliwa namjomba wangu sio kama nilishuhudia jaman
 
Habari za mwanzo wa juma wanajamvi
Kuna tamaduni km sio mila japo sina uhakika km ni kwa makabila yote ama ni baadhi hususani kwa hapa TZ ya kwamba pindi mtoto anapozaliwa mzazi inabidi awe makini wakati kitovu kitakapoachia kisiangukie sehemu ya uume kwa mtoto wa kiume na kisiangukie sehem ya uke kwa mtoto wa kike endapo hilo litajitokeza kuna uwezekano mkubwa kwa mtoto wa kike asipate mtoto na kwa mtoto wa kiume nae asipate mtoto au hata atakapobaleh uume wake hautaweza kusimama.

Sasa kilichotokea ktk hii family historia inaonesha huyu mama mwanae wa kiume kitovu kiliangukia ktk sehem yake ya uume na ushauri aliokua anapewa ni achukue uume wa mwanae na kukutanisha na uke wake basi tatizo litakua limeisha.Ila kwa kipindi chote hicho mama alikua anaona ni kitu kisichowezeka na kupotezea kwa kua mtoto bado alikua mdogo.

Maisha yamesonga na mtoto amebalehe lakini kwa babu hamna maajabu yaani uume hausimami na mama mtu kahangaika sana kwa madaktari anàambiwa mtoto hana tatizo na akiangalia upande wa pili kwenye mambo ya kienyeji anaambiwa hakuna dawa zaidi ya kuchukua utupu wa mwanae na kukugusanisha na uke wake ikizingatiwa mwanae ameshakua na yeye mtoto ameanza kupata stories kwamba dawa ni afanye hilo tukio mama yake.Na mama MTU anajutia kwa dharau zake toka mtoto akiwa mdogo angeweza kufanya hilo na mambo yangeisha kimya kimya ila kwa sasa story zimezagaa kitaa na ikitokea mtoto akawa fresh bas kitaa kitajua kwamba bi mkubwa kashafanya yake na mtoto ndio ivo nae muda wote kakaa kinyonge.

Mdingi nae yupo haelewi afanye nini nimeuleta uzi kwenu wana JF nikiamini anaweza pata ushauri utakaomvusha ktk huu mtihani
Lazima utakuwa unatokea Mtwara wewe. Vipi uji wa muhogo umekunywa leo?
 
Habari za mwanzo wa juma wanajamvi
Kuna tamaduni km sio mila japo sina uhakika km ni kwa makabila yote ama ni baadhi hususani kwa hapa TZ ya kwamba pindi mtoto anapozaliwa mzazi inabidi awe makini wakati kitovu kitakapoachia kisiangukie sehemu ya uume kwa mtoto wa kiume na kisiangukie sehem ya uke kwa mtoto wa kike endapo hilo litajitokeza kuna uwezekano mkubwa kwa mtoto wa kike asipate mtoto na kwa mtoto wa kiume nae asipate mtoto au hata atakapobaleh uume wake hautaweza kusimama.

Sasa kilichotokea ktk hii family historia inaonesha huyu mama mwanae wa kiume kitovu kiliangukia ktk sehem yake ya uume na ushauri aliokua anapewa ni achukue uume wa mwanae na kukutanisha na uke wake basi tatizo litakua limeisha.Ila kwa kipindi chote hicho mama alikua anaona ni kitu kisichowezeka na kupotezea kwa kua mtoto bado alikua mdogo.

Maisha yamesonga na mtoto amebalehe lakini kwa babu hamna maajabu yaani uume hausimami na mama mtu kahangaika sana kwa madaktari anàambiwa mtoto hana tatizo na akiangalia upande wa pili kwenye mambo ya kienyeji anaambiwa hakuna dawa zaidi ya kuchukua utupu wa mwanae na kukugusanisha na uke wake ikizingatiwa mwanae ameshakua na yeye mtoto ameanza kupata stories kwamba dawa ni afanye hilo tukio mama yake.Na mama MTU anajutia kwa dharau zake toka mtoto akiwa mdogo angeweza kufanya hilo na mambo yangeisha kimya kimya ila kwa sasa story zimezagaa kitaa na ikitokea mtoto akawa fresh bas kitaa kitajua kwamba bi mkubwa kashafanya yake na mtoto ndio ivo nae muda wote kakaa kinyonge.

Mdingi nae yupo haelewi afanye nini nimeuleta uzi kwenu wana JF nikiamini anaweza pata ushauri utakaomvusha ktk huu mtihani
Unapotafuta tiba kuna wakati unajifanya ni kichaa. Majirani wapo wanakucheka, je wamemsaidia kwa lolote zaidi ya kumcheka na kumdharau?
Kwa kuwa mtoto ni wao, haina madhara kuendelea kukaa kimya, siku zinasonga na mtoto anazidi kuwa mkubwa. Kwa jamii yetu ilivyooza wazazi watakuja shangaa mtoto anakuwa shoga (Siombei hivyo lkn huenda).
Inabidi apambane tu. Ningekuwa baba mtu, ningemruhusu mwanangu. Naruhusu kwa nia njema kwa ajili ya uppnyaji.
Mpe mpole sana
 
Hii ni hadithi ya kufikirika na wala haina mashiko kabisa. Hivi hao wazazi wamejuaje kuwa kijana wao ni hanithi??

Mtoto anapobalehe mama yake anajuaje kuwa kijana wake hasimamishi mpaka achukue uamuzi wa kumpeleka hospitalini???

Huyu kijana baada ya kubalehe alijaribu kufanya ngono na nani akagundua uume wake hausimami????

Hivi kweli mtu kama uume wake hausimami anaweza kupata ujasiri wa kuwaambi wazazi wake????

Ikiwa mwanaume kama ana tatizo kwenye uume wake hawezi hata kumwambia baba yake, anawezaje kumwambia mama yake??????

Achane kutuletea habari za uwongo humu ndani. Hizo imani za kusema sijui kitovu sijui nini ni imani za kishenzi tu na hazina ukweli wowote ule. Hakuna uhusiano wowote ule wa kitovu cha mtoto na viungo vyake vya uzazi. Inasikitisha sana kuona mpaka leo hii karne ya 21 bado kuna watu kama wewe manashikilia imani hizi za kipuuzi kabisa.
Mkuu hakuna hadithi ktk hili hili ni tukio la kweli

Kuhusu hoja yako ambayo umehoji alifanya mapenzi na nani na akajijua hadindishi ni hoja dhaifu kwa kua mtoto wa kiume huitaji mpaka uione papuchi ndio usimamishe na kwa faida kuna watu walianzia kwenye masturbation yawezekana akapata muhemko na uume ukasimama na akajichua shughuli ikaishia hapo

Kuhusu alianzaje kumwambia mama yake kua hadindi,kumbuka mama ana historia ya kilichotokea japo alikua haamini sana ndio mana hakufanya hiko kitendo kwa muda tu hivyo hata yeye lazima awe na ham ya kujua ni kweli ama la kile anachokiamini hivyo anaweza kumtumia mumewe na akapata mrejesho mzuri tu
 
Mhhhhhh hivi ni kweli??? Japo siamini ila.huwa niko makini kweli kuangalia kitovu kikikauka kisije angukia hapo kwa babu
Unaweza nipa ABC nini hutokea kinapoangukia kweny dushe? Kuna nguvu gani?
 
Back
Top Bottom