Afanyeje ili amnusuru mwanae asiwe hanithi?

Afanyeje ili amnusuru mwanae asiwe hanithi?

Kwani akibaki hivyo alivyo kunatatizo gani? Mi naona huo ni UPUUZI..
 
Hizo ni Imani za kishirikina kuna muunganiko gani hapo.I don't believe the science behind this@Nichumu nibebike .Ama kweli aliyosema Trump yanajidhihirisha tunahitaji kujitafakari Waafrika
 
Loooh nampa pole ila afumbe macho afanye tu alafu amuamishe mwanae huo mtaa kama ni shule ampeleke kama ni kukaa kwa ndugu yake ampeleke tu..
 
NI KAMA VILE UNAVYO-BOOST BATTERY YA SIMU ILIYOZIMA KABISA KWA KUTUMIA CHAJA YA KOBE....
 
Habari za mwanzo wa juma wanajamvi
Kuna tamaduni km sio mila japo sina uhakika km ni kwa makabila yote ama ni baadhi hususani kwa hapa TZ ya kwamba pindi mtoto anapozaliwa mzazi inabidi awe makini wakati kitovu kitakapoachia kisiangukie sehemu ya uume kwa mtoto wa kiume na kisiangukie sehem ya uke kwa mtoto wa kike endapo hilo litajitokeza kuna uwezekano mkubwa kwa mtoto wa kike asipate mtoto na kwa mtoto wa kiume nae asipate mtoto au hata atakapobaleh uume wake hautaweza kusimama.

Sasa kilichotokea ktk hii family historia inaonesha huyu mama mwanae wa kiume kitovu kiliangukia ktk sehem yake ya uume na ushauri aliokua anapewa ni achukue uume wa mwanae na kukutanisha na uke wake basi tatizo litakua limeisha.Ila kwa kipindi chote hicho mama alikua anaona ni kitu kisichowezeka na kupotezea kwa kua mtoto bado alikua mdogo.

Maisha yamesonga na mtoto amebalehe lakini kwa babu hamna maajabu yaani uume hausimami na mama mtu kahangaika sana kwa madaktari anàambiwa mtoto hana tatizo na akiangalia upande wa pili kwenye mambo ya kienyeji anaambiwa hakuna dawa zaidi ya kuchukua utupu wa mwanae na kukugusanisha na uke wake ikizingatiwa mwanae ameshakua na yeye mtoto ameanza kupata stories kwamba dawa ni afanye hilo tukio mama yake.Na mama MTU anajutia kwa dharau zake toka mtoto akiwa mdogo angeweza kufanya hilo na mambo yangeisha kimya kimya ila kwa sasa story zimezagaa kitaa na ikitokea mtoto akawa fresh bas kitaa kitajua kwamba bi mkubwa kashafanya yake na mtoto ndio ivo nae muda wote kakaa kinyonge.

Mdingi nae yupo haelewi afanye nini nimeuleta uzi kwenu wana JF nikiamini anaweza pata ushauri utakaomvusha ktk huu mtihani
Nadhani umeamua kuzunguka mbuyu. Pole sana mkuu muombe mother mgusanishe kwa sababu ndiyo tiba pekee kwa hilo tatizo lako.
 
Inasemekana hauingizi kabisa ila kumuonesha papuchi mwanae wa kumzaa ndio mhh
Kama ndio tiba yake hanabudi afanye maana umenikumbusha kipindi najifungua nami niliambiwa hivyo na marafiki zangu shughuli Ilikuwa kumuogesha sasa yaani hizi imani wacha kabisa ndugu yangu
 
Zamani walikuwa wanasema kitovu kikiangukia kweli inakuwa hivyo;
ila hii ya kukutanisha na uke wa mama ndo nimeisikia leo;
Mm niliambiwa ndio Dawa yake yaani sitaki kukumbuka nilivyokuwa nailinda dudu ya mwanangu isiangukiwe na kitovu imani hizi acha tu ndugu yangu
 
Sasa huyu mama kuanzia mwanaye ni mdogo alikuwa aoni kama mwanaye asimamishi?
 
dawa yake ipo kama kijana ni hanithi wa kuzaliwa, kuna dawa inapatikana sana ujaluoni inapakazwa kwenye tupu ya mbuzi na kugusishwa mk.nd.uni. sio masihara nna shuhuda 2 moja kwa anko wangu.kuna mtaalam yuko dar na malipo ni baada ya matokeo. siutani
 
afrika bado safari ni ndefu sana.....bado najiuliza hivi mtego wa panya uligunduliwa Africa?
 
Habari za mwanzo wa juma wanajamvi
Kuna tamaduni km sio mila japo sina uhakika km ni kwa makabila yote ama ni baadhi hususani kwa hapa TZ ya kwamba pindi mtoto anapozaliwa mzazi inabidi awe makini wakati kitovu kitakapoachia kisiangukie sehemu ya uume kwa mtoto wa kiume na kisiangukie sehem ya uke kwa mtoto wa kike endapo hilo litajitokeza kuna uwezekano mkubwa kwa mtoto wa kike asipate mtoto na kwa mtoto wa kiume nae asipate mtoto au hata atakapobaleh uume wake hautaweza kusimama.

Sasa kilichotokea ktk hii family historia inaonesha huyu mama mwanae wa kiume kitovu kiliangukia ktk sehem yake ya uume na ushauri aliokua anapewa ni achukue uume wa mwanae na kukutanisha na uke wake basi tatizo litakua limeisha.Ila kwa kipindi chote hicho mama alikua anaona ni kitu kisichowezeka na kupotezea kwa kua mtoto bado alikua mdogo.

Maisha yamesonga na mtoto amebalehe lakini kwa babu hamna maajabu yaani uume hausimami na mama mtu kahangaika sana kwa madaktari anàambiwa mtoto hana tatizo na akiangalia upande wa pili kwenye mambo ya kienyeji anaambiwa hakuna dawa zaidi ya kuchukua utupu wa mwanae na kukugusanisha na uke wake ikizingatiwa mwanae ameshakua na yeye mtoto ameanza kupata stories kwamba dawa ni afanye hilo tukio mama yake.Na mama MTU anajutia kwa dharau zake toka mtoto akiwa mdogo angeweza kufanya hilo na mambo yangeisha kimya kimya ila kwa sasa story zimezagaa kitaa na ikitokea mtoto akawa fresh bas kitaa kitajua kwamba bi mkubwa kashafanya yake na mtoto ndio ivo nae muda wote kakaa kinyonge.

Mdingi nae yupo haelewi afanye nini nimeuleta uzi kwenu wana JF nikiamini anaweza pata ushauri utakaomvusha ktk huu mtihani
Atafute dawa ya usingizi kijana alale aende ajigusishe kama inawork!!
 
Back
Top Bottom