Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,217
- 14,811
Mkuu,
MWANAUME kupiga magoti?? When, where, what,
ni kawaida kwenye mila na utamaduni wa Kizungu, Wazungu mwanaume hujishusha kwa hupiga goti kumuomba mchumba wake akubali kuolewa naye …
Mkuu,
MWANAUME kupiga magoti?? When, where, what,
Kwavile wewe ulipigiwa goti kuvalishwa Pete na mumeo ndio unafikiri wanaume wote ni wajinga?
Unamwaga povu kisa Afande kufanya kile apendacho?
Yani mke wa Afande Sele ameona sawa tu ila wewe ndio unatema povu!
Watu wanakuelekeza ila umekaza tu fuvu! Jinga kabisa wewe.
Kwa SISI waafrika ni kinyume chakeni kawaida kwenye mila na utamaduni wa Kizungu, Wazungu mwanaume hujishusha kwa hupiga goti kumuomba mchumba wake akubali kuolewa naye …
Kwa SISI waafrika ni kinyume chake
The Icebreaker , huyu mdau tunamweka kundi gani, umemwelewesha lakini wap.kwa nini iwe kinyume chake? na kwa nini muige jambo ambalo hata hamulielewi maana yake? kama unaiga aidha unafanya ipasavyo au uache na ufwate mila na tamaduni zenu, vinginevyo mnaonekana vituko na kuzidi kudharauliwa duniani kote kwa maana hamuelewi kwa nini kwenye culture za Wazungu Mwanaume hujishusha kwa kupiga goti kumuomba mchumba wake ampendaye akubali kuolewa naye, hivyo bakieni tu kiafrika kupigana mtama kubakana, au ndoa za mkeka kwisha siyo lazima muige mambo ambayo hamuyaelewi, mnaonekana kituko mbele ya dunia.
kumbuka kujishusha kwa umpendaye na anayestahili siyo udhaifu bali ni Uanaume uliokomaa ...
Tumuache tu,asije akaenda kujiua kwa hasira.The Icebreaker , huyu mdau tunamweka kundi gani, umemwelewesha lakini wap.
All in all, hii ndio Dunia ya FREE MIND
Sawa mkuu.Tumuache tu,asije akaenda kujiua kwa hasira.
AahaaaaOlewa wewe basi upigiwe magoti
Akili zako zitakua haziko sawa sawa kabisa yani mwanaume ampigie magoti mwanamke 😳the guy is stupid na low iq, badala ya kumpigia magoti mke wake eti yeye ndiye anapigiwa magoti, such a selfish fool …
the guy is stupid na low iq, badala ya kumpigia magoti mke wake eti yeye ndiye anapigiwa magoti, such a selfish fool …
Na mimi nitafanya hivyo tena lazima anipigie magoti yote mawilithe guy is stupid na low iq, badala ya kumpigia magoti mke wake eti yeye ndiye anapigiwa magoti, such a selfish fool …
Hasira yote hii plus majina mabaya kwasababu mwanaume hajapiga goti tu au unashida nyingine binafsi na Afande Sele.the guy is stupid na low iq, badala ya kumpigia magoti mke wake eti yeye ndiye anapigiwa magoti, such a selfish fool …
Wewe Mgogo tu hauwezi ukawa Mwingereza kwenye familia ya kifalme hata ufanyaje. Hizo tamaduni za Mwanaume kupiga magoti kwa mwanamke ni huko Uingereza mmecopy tamaduni msizozijua upuuzi tuhata wewe hauelewi kama huyo idiot mwenzako kwa nini Christians hupiga goti wanamuuliza binti kuolewa naye, kama hamuelewi maana yake si muonane tu kimila kama mababu walivyofanya enzi na enzi kwa kuviziana vichochoroni kupigana mitama, ila mila za watu kama hamzielewi ziacheni …
Hapo kwenye Christians, ni borq uendelee na UJAKAZI wako, usivuruge mambo.kwa nini Christians hupiga goti wanamuuliza binti kuolewa naye
😂😂Olewa wewe basi upigiwe magoti
Duhthe guy is stupid na low iq, badala ya kumpigia magoti mke wake eti yeye ndiye anapigiwa magoti, such a selfish fool …
Wanaume wa Dar mnamatatizo sana nyie, yaani wao wameamua wapigiane magoti walichokifanya, wewe una hasira na matusi juu...shida nini, kuna mmoja wapo hapo alikua wako nini??he is stupid, na wala haelewi maana na dhana nzima ya mwanaume kupiga goti, unapopiga goti unamuuliza mwanamke kama atakubali kuolewa na wewe hiyo ndiyo maana yake vinginevyo msiige mambo na mila za watu na kuziharibu yeye angeoa tu kimila chao labda ampige gwala mwanamke kumbaka na kisha kwenda kuripoti kwa baba yake kutoa mahali na kuweka ndani hiyo ndiyo mila ya kiafrika …
Nyie ndiyo mnaupigia promo ushoga. Uliona wapi jamii za kiafrika zina utamaduni wa mwanaume kupiga goti?he is stupid, na wala haelewi maana na dhana nzima ya mwanaume kupiga goti, unapopiga goti unamuuliza mwanamke kama atakubali kuolewa na wewe hiyo ndiyo maana yake vinginevyo msiige mambo na mila za watu na kuziharibu yeye angeoa tu kimila chao labda ampige gwala mwanamke kumbaka na kisha kwenda kuripoti kwa baba yake kutoa mahali na kuweka ndani hiyo ndiyo mila ya kiafrika …