elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,705
Zama za afande zishapita aache kufosi mambo na kuwa na hasira na mafanikio ya wenzake.
Ajikite zaidi kwenye kilimo na ujasiriamali wengi wa wa tz washaacha kufuatilia mambo yake.
Kila zama na mfalme wake ufalme wake ushapita inabidi akubari ukweli mchungu haijaliahi atoe ngoma yenye ujumbe kiasi gani haiwezi ku trend kama zamani.
Ajikite zaidi kwenye kilimo na ujasiriamali wengi wa wa tz washaacha kufuatilia mambo yake.
Kila zama na mfalme wake ufalme wake ushapita inabidi akubari ukweli mchungu haijaliahi atoe ngoma yenye ujumbe kiasi gani haiwezi ku trend kama zamani.