AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Nani ampe kura mvuta bangi na msaliti mkubwa huyo?
Muulize rafiki yako Salary Slip.Mkuu haya mengine umeyachapia kuikosoa Chadema huwezi kuitwa msaliti .
amefanya niniMuulize rafiki yako Salary Slip.
Kweli tu wanafiki balaa huyu huyu aliposema akiwa chadema alikuwa mtu sahihi,leo kwa kuwa chama kingine tumeziona kasoro kibao.
Kama kweli tunayo nia ya kulipeleka pazuri taifa hili suala la chama kuwa kigezo tuliondoe,tuangalie uwezo binafsi tu na si unazi wa chama.
Nani ampe kura mvuta bangi na msaliti mkubwa huyo?