Afande Awadhi unachofanya sio sahihi

Afande Awadhi unachofanya sio sahihi

Sio kama kuna solution utaipata hapa au unataka tujadili kimbea, we kama raia mwema ulitakiwa kuchukua uamuzi wa kutoka na kumsaidia au kusikilliza chanzo cha tatizo na sio kuja kulalamika kwenye jukwaa ambalo hata huyo afande hujui kama anapita kusoma hapa tujue kuchukua maamuzi yanayowaathiri raia wenzetu najua ungetoka na kupata maelezo pande mbili ungepata kitu unaweza kuta hata ni wivu wa kimapenzi baina yao wahusika. Nilishawahi ona clip toka kenya raia wakimsaidia kilema aliyekuwa akiburuzwa na police wa jiji maarufu kama Kanjoo na ilionesha jinsi gani nguvu ya umma inafanya maamuzi sahihi sasa wewe na wengine mliokuwa kwenye foleni mlikuwa wabinafsi hamkichukua hatua na huyo afande hataacha kuwapiga makofi watu wengine sababu ya kupuuza itaendelea ivo hata kama sio kesho itakuwa mwakani.
Hata asipoona yeye humu,wataona wengine pia na taarifa zitafika kunakohusika.
NAUNGANA NA WANAOLAANI KITENDO HICHO KAMA NI CHA KWELI.
NALAANI TENA NA TENA NA TENA.
Polisi wa kizamani bado wapo kazini,SAID MWEMA alisaidia sana kulifanya jeshi la polisi kuwa la kistaarabu,IGP wa sasa aendeleze juhudi hizo na zaidi ziambane na ELIMU.
 
Mleta mada hukuwa na kifaa cha kuweza kurekodi hilo tukio.?
Siku nyingine ukipatwa au jamaa yako akipatwa na tatizo la barabarani tafadhali mpigie simu Afande Mohamed Mpinga kwa hii namba 0682 887 722 kwa msaada wa haraka.
 
Kwa wale watumiaji wa barabara za Dar es salaam bila shaka watakuwa wanamfahamu fika huyu polisi anayejulikana kwa jina la AWADH mwenye cheo cha SP ambaye mara nyingi huwa namuona kwenye barabara ya Al-Hassan Mwinyi hasa maeneo ya ubalozi wa Ufaransa na sehemu zenye utata wa foleni.

Kwanza kabisa ningependa kumpongeza kwa juhudi binafsi anazozionyesha na kujituma kwa manufaa ya watumiaji wa barabarani, lakini hata hivyo Wahenga hawakukosea waliposema ''Kizuri Hakikosi kasoro''.

Nina maana gani kusema hivyo? Labda niwape mkasa kidogo kuhusiana na huyu Askari wa Usalama barabarani ambao nimeushuhudia kwa macho yangu asubuhi kweupe pasi na kupepesa.

Nilikuwa nipo kwenye foleni naelekea City Center kwenye shughuli zangu za kujitafutia mkate wangu wa kila siku, nilipofika maeneo ya Ubalozi wa Ufaransa nikawa natazama magari yaliyokuwa yanatoka kwenye barabara ya OCTAS ambapo kwa wakati ule yalikuwa mengi.

Ghafla Awadh akawa amefika eneo la tukio akiwaelekeza madereva namna ya kuweza kupita na kupunguza msongamano, wakati akiwapa maelekezo na kuyaruhusu magari mengine kuingia kwenye barabara ya Al Hassan mwinyi, kuna mwanadada mmoja alikuwa yupo ndani ya gari yake aina ya IST rangi ya cream.

Huyu mwanadada alikuwa kwenye foleni ileile aliyokuwa ikiongozwa na Awadh, lakini katika hali ya kushangaza Awadh alimfuata yule dada akaanza kumchapa makofi na kama kuona hiyo haitoshi akamchomolea upepo wa tairi ya kulia ya gari yake na kumnyang'anya funguo.

Yule Dada akawa analia huku amelalia usukani wa gari, kusema ukweli kitendo kile kiliniuma sana hasa ukizingatia jinsia zao ni tofauti na mbaya zaidi yule ni mtoto wa kike.

Moja kwa Moja nadhubutu kusema alimfanyia unyanyasaji wa kijinsia kweupe, nilitamani nitoke kwenye usafiri wangu niende nikamtete sema kuna roho ikaniambia nisiende.

Nikawa najiuliza kama yule mwanadada amekosea, why hakufuata taratibu za kumpiga faini mpaka amdhalilishe kiasi kile?

Afande Awadh tunakuhiji ubadilike na kama huwa unafanikiwa kuingia huku bila shaka utakuwa umeshapata ujumbe wako.
Ulimfuata Afande Awadhi kumuuliza kwanini afanye hivyo??
 
Hamjui kwa nini askari inaita upande mmoja kwa dakika 17,kwa kua hamsikii maelekezo ya radio.inawezekana kabisa upande huo kulikua na msongamano wa magari,na kuna msafara ulitakiwa kupita huko,hapo lazima uyatoe magari.
Kuhusu kumkata vibao mwanamke,huyo ni askari hana tofauti na wa defender,kama mwanmke kachomeka kiasi cha kuhatarisha usalama wa wengine ni haki yake kulambwa makofi,hawezi kuachiwa kisa mwanamke
....wewe ni punga punguwani kabisa!
 
LHRC ...... +255222773038
TGNP ...... +255754784050
TAWLA .... +255222862865
TAMWA ... +255222772681
 
Hivi kwa ujumla bila kujali kama dereva ni wa jinsia ya kike au kiume ni sahihi kwa askari wa usalama barabarani kumpiga makofi dereva, kumtolea upepo kwenye tairi na pia kumnyang'anya funguo?
 
Mtoa mada umekosea sana. Kwani kitendo ulichoona hakikuwa na mwanzo was kosa alilofanya demu?????. Unaeleza tu alikuwa kwenye foleni kwani we hukuwa kwenye foleni? Nyoosha Maelezo yako ili tubaini kosa na adhabu ya kujichukulia sheria mkononi kwa afande Awadh. Mke nimesoma naye Mkwawa ati. Hata maafande wengine na ninaouwezo was kummuliza lakini nilitegemea useme kosa la demu kisha tupime na hukumu aliyopewa
 
Kwa wale watumiaji wa barabara za Dar es salaam bila shaka watakuwa wanamfahamu fika huyu polisi anayejulikana kwa jina la AWADH mwenye cheo cha SP ambaye mara nyingi huwa namuona kwenye barabara ya Al-Hassan Mwinyi hasa maeneo ya ubalozi wa Ufaransa na sehemu zenye utata wa foleni.

Kwanza kabisa ningependa kumpongeza kwa juhudi binafsi anazozionyesha na kujituma kwa manufaa ya watumiaji wa barabarani, lakini hata hivyo Wahenga hawakukosea waliposema ''Kizuri Hakikosi kasoro''.

Nina maana gani kusema hivyo? Labda niwape mkasa kidogo kuhusiana na huyu Askari wa Usalama barabarani ambao nimeushuhudia kwa macho yangu asubuhi kweupe pasi na kupepesa.

Nilikuwa nipo kwenye foleni naelekea City Center kwenye shughuli zangu za kujitafutia mkate wangu wa kila siku, nilipofika maeneo ya Ubalozi wa Ufaransa nikawa natazama magari yaliyokuwa yanatoka kwenye barabara ya OCTAS ambapo kwa wakati ule yalikuwa mengi.

Ghafla Awadh akawa amefika eneo la tukio akiwaelekeza madereva namna ya kuweza kupita na kupunguza msongamano, wakati akiwapa maelekezo na kuyaruhusu magari mengine kuingia kwenye barabara ya Al Hassan mwinyi, kuna mwanadada mmoja alikuwa yupo ndani ya gari yake aina ya IST rangi ya cream.

Huyu mwanadada alikuwa kwenye foleni ileile aliyokuwa ikiongozwa na Awadh, lakini katika hali ya kushangaza Awadh alimfuata yule dada akaanza kumchapa makofi na kama kuona hiyo haitoshi akamchomolea upepo wa tairi ya kulia ya gari yake na kumnyang'anya funguo.

Yule Dada akawa analia huku amelalia usukani wa gari, kusema ukweli kitendo kile kiliniuma sana hasa ukizingatia jinsia zao ni tofauti na mbaya zaidi yule ni mtoto wa kike.

Moja kwa Moja nadhubutu kusema alimfanyia unyanyasaji wa kijinsia kweupe, nilitamani nitoke kwenye usafiri wangu niende nikamtete sema kuna roho ikaniambia nisiende.

Nikawa najiuliza kama yule mwanadada amekosea, why hakufuata taratibu za kumpiga faini mpaka amdhalilishe kiasi kile?

Afande Awadh tunakuhiji ubadilike na kama huwa unafanikiwa kuingia huku bila shaka utakuwa umeshapata ujumbe wako.
huyu awadhi daladala zote zinamjua kuna konda na dereva sikumoja walikuwa wanamjadili wakasema walienda kumroga bagamoyo wakakuta huyo mganga ndo pia ni mganga wa awadhi walienda kumuua ila akawaambia wasimuuwe atamwita amuonye mbele yao ... kwahiyo wakawa wanajisifia kuwa awadhi hawafanyi lolote
 
mleta mada unanikumbusha basi moja miaka ya nyuma kidogo lilimshusha mama na mtoto porini katika mbuga ya simba hakuna hata abiria mmoja kupinga lile swala..yule mama baada ya kuona kazingilwa na Simba alimpandisha mwanae katika mti yeye aliliwa yule mtoto alipoona gari inapita alipiga kelele yule mzungu akamfata na kimsaidia though lugha ilikua tatizo alimuelewa alilikimbizia lile basi na kumpeleka yule mtoto kuonesha wote walichokifanya..nakumbuka dereva na konda wake walifungwa ndefu ndio hayo uliotuletea wewe mdada anapigwa na police wa kiume wote mpo busy harafu unakuja huku tutatoa msaada gani zaidi ya kuhuzinika tuu.


wapi iyo ilitokea
 
Kwa wale watumiaji wa barabara za Dar es salaam bila shaka watakuwa wanamfahamu fika huyu polisi anayejulikana kwa jina la AWADH mwenye cheo cha SP ambaye mara nyingi huwa namuona kwenye barabara ya Al-Hassan Mwinyi hasa maeneo ya ubalozi wa Ufaransa na sehemu zenye utata wa foleni.

Kwanza kabisa ningependa kumpongeza kwa juhudi binafsi anazozionyesha na kujituma kwa manufaa ya watumiaji wa barabarani, lakini hata hivyo Wahenga hawakukosea waliposema ''Kizuri Hakikosi kasoro''.

Nina maana gani kusema hivyo? Labda niwape mkasa kidogo kuhusiana na huyu Askari wa Usalama barabarani ambao nimeushuhudia kwa macho yangu asubuhi kweupe pasi na kupepesa.

Nilikuwa nipo kwenye foleni naelekea City Center kwenye shughuli zangu za kujitafutia mkate wangu wa kila siku, nilipofika maeneo ya Ubalozi wa Ufaransa nikawa natazama magari yaliyokuwa yanatoka kwenye barabara ya OCTAS ambapo kwa wakati ule yalikuwa mengi.

Ghafla Awadh akawa amefika eneo la tukio akiwaelekeza madereva namna ya kuweza kupita na kupunguza msongamano, wakati akiwapa maelekezo na kuyaruhusu magari mengine kuingia kwenye barabara ya Al Hassan mwinyi, kuna mwanadada mmoja alikuwa yupo ndani ya gari yake aina ya IST rangi ya cream.

Huyu mwanadada alikuwa kwenye foleni ileile aliyokuwa ikiongozwa na Awadh, lakini katika hali ya kushangaza Awadh alimfuata yule dada akaanza kumchapa makofi na kama kuona hiyo haitoshi akamchomolea upepo wa tairi ya kulia ya gari yake na kumnyang'anya funguo.

Yule Dada akawa analia huku amelalia usukani wa gari, kusema ukweli kitendo kile kiliniuma sana hasa ukizingatia jinsia zao ni tofauti na mbaya zaidi yule ni mtoto wa kike.

Moja kwa Moja nadhubutu kusema alimfanyia unyanyasaji wa kijinsia kweupe, nilitamani nitoke kwenye usafiri wangu niende nikamtete sema kuna roho ikaniambia nisiende.

Nikawa najiuliza kama yule mwanadada amekosea, why hakufuata taratibu za kumpiga faini mpaka amdhalilishe kiasi kile?

Afande Awadh tunakuhiji ubadilike na kama huwa unafanikiwa kuingia huku bila shaka utakuwa umeshapata ujumbe wako.
jela inamuhusu amchape makofi khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa angenijua mm nani aisee afe kabla sijaniunua vitz ataisoma namnba
 
Mkuu wa usalama barabarani unaona upumbavu anaofanya huyu polisi wako?mm namlalamikia awadhi kila siku kwenye mitandao lkn hakuna hatua anayochukuliwa sasa hapo ingekuwa gari ya police imefanya hilo kosa ingeruhusiwa na kubaki wanachekeana pls awadh tumekuchoka
 
Hivi kwa ujumla bila kujali kama dereva ni wa jinsia ya kike au kiume ni sahihi kwa askari wa usalama barabarani kumpiga makofi dereva, kumtolea upepo kwenye tairi na pia kumnyang'anya funguo?
Sio sahihi kabisa kumbe ndio maana tunatukanwa sana na raia
 
Alimpiga makofi??? Kwa kosa gani sasa? na nini tena sababu ya kutoa upepo wa tairi? Aisee huyo jamaa ana tatizo.
Kumpiga makofi ni kosa kubwa, kutoa upepo ili gari lisitembee, sawa? Na Kunyang'anya funguo ili iwe nini? Kwanini asingemnyang'anya funguo tu? Huu ni uonevu.
 
Mleta Mada mzito. Siku nyingine ukiona matukio kama Hayo jifanye unajiekotite then unarekodi tukio lote live. Wiki hii hii ungeona mtu anageuzwa constable sugu kama sio kufukuzwa kazi.
 
Back
Top Bottom