masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,408
- 14,115
Hakuna askari polisi anayependa kudukuliwa akiwa kazini.
,wapi hiyo,Afande mjanja, nimecheka!View attachment 3327536
Hakuna askari polisi anayependa kudukuliwa akiwa kazini.
Tumia browser.Mbona mimi hizi video huwa hazichezi kwanini? Natumia app kwenye simu.
Na huwa nafanya update kila wakati
Njia moja ya kupambana na rushwa na uhalifu ni kufunga camera pote hadi kwenye magariView attachment 3327536
Hakuna askari polisi anayependa kudukuliwa akiwa kazini.
Hii ndio dawa yao na wanaogopa kweli kweli, kuna ndugu yangu alikuwa anaweka camera mbele, wakitaka kumbana wakiiona wanakuwa wapoleNjia moja ya kupambana na rushwa na uhalifu ni kufunga camera pote hadi kwenye magari
Imeharibu ugali wakeView attachment 3327536
Hakuna askari polisi anayependa kudukuliwa akiwa kazini.
Polisi ana kitambi kama debe la nanilio!Imeharibu ugali wake
Hamia team browser mkuuMbona mimi hizi video huwa hazichezi kwanini? Natumia app kwenye simu.
Na huwa nafanya update kila wakati
Hizi camera nzuri sanaView attachment 3327536
Hakuna askari polisi anayependa kudukuliwa akiwa kazini.
Hapa wanalelewa na rushwaPolisi ana kitambi kama debe la nanilio!
Waende Rwanda hapo wakaone namna askari anakuwa