Afadhali NYUMA,MBELE hapafai...

:biggrin1: inaonyesha jinsi gani akili zetu chafu maana mh wengine tulizania mengine
 
we jamaa uko creative sana aisee bigup 4dat
 
Kwa maana nyingine bora miaka ya nyuma lkn miaka hii ya mbele mambo yanazidi kua hovyoo!
 
Kama huna mpango wa kuzaa aisee, afadhali nyuma.
 
shigongo akisoma hii atakuchukua jembe ukawe mhariri kwenye gazeti lake la ijumaa wikienda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…