Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
advocate huyu ambaye anashikiliwa katika mahabusu ya gereza la kisongo aliyasema hayo leo katika muendelezo wa kesi inayomkabili.
Amedai mawakili wa serikali humfuata mara kwa mara na kutaka kumpeleka pasipojulikana.
Ametoa taarifa hii ili kumbukumbu za mahakama ziwepo iwapo jambo baya litamtokea.
Amedai mawakili wa serikali humfuata mara kwa mara na kutaka kumpeleka pasipojulikana.
Ametoa taarifa hii ili kumbukumbu za mahakama ziwepo iwapo jambo baya litamtokea.