Nina
kiasi cha shilingi 7mil na ninataka kununua usafiri wangu binafsi.
Naombeni wenye uzoefu na magari mnishauri ni aina gani ya gari naweza
kuipata kutoka show room kwa kiasi hicho cha fedha.
Binafsi nilikuwa napendelea toyota mark II ila sasa sijui bei yake
ikoje.
Then naomba kujua gharama za utunzaji gari zikoje kwa mfano inatakiwa
ifanyiwe service mara ngapi kwa mwezi.
Mshara wangu ni lak 3 kwa mwezi sina familia je nitaweza kuzimudu gharama za utunzaji gari?
Full maushauri eeh, nunua Duet inatembea hadi Km 14 kwa lita, ndio ninayoitumia ni nzuri sana. Sijasema engine ni mabaya.
Duu kweli vijana kazi tunayo vijana una mshahara wa laki 3 unataka kununua gari? Jijenge kwanza dogo kununua gari la matumizi binafsi ni kujipunguzia speed ya kukua kiuchumi.Zungusha hizo mil 7 zako ili kuja kununua gari ukiwa una raha zako zote na uwezo wa kununua fuel
Mi nadhani ungefungua buzness ya 5M, baada ya mwaka tunakusahau! ni dalili ya umaskini kuwaza kuongeza matumizi badala ya kuongeza kipato
... Mkuu hudumu ya Service ya bei hizi inapatikana wapi? ili nami nikanufaike na hizi garama nafuu...
yes hii ni gari nzuri sananunua suzuki swift.
Biashara gan hiyo ya 5M kaka?
Biashara gan hiyo ya 5M kaka?
... Mkuu hudumu ya Service ya bei hizi inapatikana wapi? ili nami nikanufaike na hizi garama nafuu...
Mie mwenyewe nimeshangaa, service rahisi hivyo, nimefanya service kama mwezi mmmoja umepita tena nimefanyia BP sh 70,000
Nina
kiasi cha shilingi 7mil na ninataka kununua usafiri wangu binafsi.
Naombeni wenye uzoefu na magari mnishauri ni aina gani ya gari naweza
kuipata kutoka show room kwa kiasi hicho cha fedha.
Binafsi nilikuwa napendelea toyota mark II ila sasa sijui bei yake
ikoje.
Then naomba kujua gharama za utunzaji gari zikoje kwa mfano inatakiwa
ifanyiwe service mara ngapi kwa mwezi.
Mshara wangu ni lak 3 kwa mwezi sina familia je nitaweza kuzimudu gharama za
Duu kweli vijana kazi tunayo vijana una mshahara wa laki 3 unataka kununua gari? Jijenge kwanza dogo kununua gari la matumizi binafsi ni kujipunguzia speed ya kukua kiuchumi.Zungusha hizo mil 7 zako ili kuja kununua gari ukiwa una raha zako zote na uwezo wa kununua fuel
Hata mimi nilitaka kumwambia hiyo, Spacio ni nzuri haina gharama sana. Mwaya wasikutishe mshahara mdogo utamudu, halafu ndo utachemsha akili zaidi kuongeza kipato kwa vile utakuwa na miguu.Nunua Spacio
kaka kila mtu na mipango yakeHakuna neno mkuu,hawezi kukuelewa sasa hivi muache ajifunze the hard way kidogo..ni vigumu sana kumuelewesha mtu ambaye hajawahi kumiliki gari kuwa gari ni liability..
Mimi najua watu kadhaa ambao pamoja na kuwa na salary ya Tshs 3m kwa mwezi bado hawajanunua magari ya kutembelea...sasa laki 3 hata mafuta haitoshi
huyu ni mwanadadaNaomba uzoefu kaka! Kwa laki3 mpaka unameki m7 umefanyajefanyaje! Maana kuna maisha mengine nayo yanahitaji ka laki3 hakohako duh!!
yaani kaka mimi kidogo nizimie?Duu kweli vijana kazi tunayo vijana una mshahara wa laki 3 unataka kununua gari? Jijenge kwanza dogo kununua gari la matumizi binafsi ni kujipunguzia speed ya kukua kiuchumi.Zungusha hizo mil 7 zako ili kuja kununua gari ukiwa una raha zako zote na uwezo wa kununua fuel
hivi laki tatu ..hapo anaishi nyumba gani? bado kulipia parking kila siku sio chini ya elfu mojaHakuna neno mkuu,hawezi kukuelewa sasa hivi muache ajifunze the hard way kidogo..ni vigumu sana kumuelewesha mtu ambaye hajawahi kumiliki gari kuwa gari ni liability..
Mimi najua watu kadhaa ambao pamoja na kuwa na salary ya Tshs 3m kwa mwezi bado hawajanunua magari ya kutembelea...sasa laki 3 hata mafuta haitoshi