Adventure With A Superman

Adventure With A Superman

Kwani we unakaa wapi?? Njoo basi na huku kwetu!

I have two homes: Moja iko huku nanihii . . .
large_superman-house.JPG


The other one, not many people know, it is here . .


wallpaper_370.jpg



Sometimes I travel and stay anywhere in space:

superman-moon.jpg


Unapenda nije kwenu? Ni wapi?​
 
Hilo jibu au swali juu ya swali?
Mkumbushe Supamani na lile deni mie ntakuja baadae
Mwenzangu, huyu supamani sijui madeni yanamchanganya?...anashindwa kukuuliza wewe sekretari wa NN kama boss wako hajambo ananiuliza mimi ntajulia wapi?.., akitokea mke wa NN hapa mie ntajibu nini bht?...anataka nimwagiwe tindikali au?
 
Hilo jibu au swali juu ya swali?
Mkumbushe Supamani na lile deni mie ntakuja baadae

Nimeshamkumbusha.

Mkuu sina deni na mtu mie. Ila just in case ukihitaji pesa, here is the money. All yours!

102180372x.jpg


Then twende huku kwanza . . . .

images


Ukiendelea kunisema vibaya nakudondosha! lol
 
Mwenzangu, huyu supamani sijui madeni yanamchanganya?...anashindwa kukuuliza wewe sekretari wa NN kama boss wako hajambo ananiuliza mimi ntajulia wapi?.., akitokea mke wa NN hapa mie ntajibu nini bht?...anataka nimwagiwe tindikali au?

Khaaaa kumbe bht na NN damu damu? Ndo baba ya hiyo mtoto kwenye Avatar nini?

Ndo maana haishi kudai deni lililokwishalipwa.
 
Khaaaa kumbe bht na NN damu damu? Ndo baba ya hiyo mtoto kwenye Avatar nini?

Ndo maana haishi kudai deni lililokwishalipwa.
Nimesema bht ni sekretari wa NN... Hayo mengine unayajua wewe lol. Lipa deni la watu supamani.
 
Aaaah bana.....mie sijui kushushua!! Haya we sema nije saa ngapi, ila kama hakuna kiepe siji...lol!!

Hehehehe njoo asubuhi alafu utakaa mpaka jioni.Breakfast kiepe yai. . .lunch kiepe kuku na dinner kiepe mishkaki!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom