Advanced level inaelekea kupoteza mvuto

Advanced level inaelekea kupoteza mvuto

martial jb

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
864
Reaction score
1,463
Habari wakuu,

Leo nimepitia moja ya mkakati wa serikali kuhusiana na mabadiliko ya kielimu nchini, na nikaona suala la kunufaisha mikopo wanafunzi wa ngazi ya Stashahada (Diploma), ni moja ya mabadiliko yanayokwenda kutokea hapo mbeleni.

Kutokana na maelezo ya serikali inasemekana ngazi ya stashahada inauhitaji zaidi na pia ina haki sawa ya kunufaika na mikopo kama ilivyo kwa ngazi ya Shahada (Degree).

Kitu kinachozunguka kichwani mwangu ni swali la je, Advanced level itakuwa na mvuto tena kwa wanafunzi ikiwa mikopo hii itaanza kugawiwa. Maana kwa mpaka sasa tayari ngazi hiyo imeshakosa mvuto kwa watu wengi juu ya kusemekana ni ngumu na haimuandai mwanafunzi na taaluma yeyote.

Sasa mikopo ya Diploma ikianza si ndiyo itakufa kabisa, kuna mtu atakayeacha pesa na kwenda kujitesa huko Advance?
 
Habari wakuu,

Leo nimepitia moja ya mkakati wa serikali kuhusiana na mabadiliko ya kielimu nchini, na nikaona suala la kunufaisha mikopo wanafunzi wa ngazi ya Stashahada (Diploma), ni moja ya mabadiliko yanayokwenda kutokea hapo mbeleni.

Kutokana na maelezo ya serikali inasemekana ngazi ya stashahada inauhitaji zaidi na pia ina haki sawa ya kunufaika na mikopo kama ilivyo kwa ngazi ya Shahada (Degree).

Kitu kinachozunguka kichwani mwangu ni swali la je, Advanced level itakuwa na mvuto tena kwa wanafunzi ikiwa mikopo hii itaanza kugawiwa. Maana kwa mpaka sasa tayari ngazi hiyo imeshakosa mvuto kwa watu wengi juu ya kusemekana ni ngumu na haimuandai mwanafunzi na taaluma yeyote.

Sasa mikopo ya Diploma ikianza si ndiyo itakufa kabisa, kuna mtu atakayeacha pesa na kwenda kujitesa huko Advance?
Zote hizo ni siasa don't trust politicians
 
Habari wakuu,

Leo nimepitia moja ya mkakati wa serikali kuhusiana na mabadiliko ya kielimu nchini, na nikaona suala la kunufaisha mikopo wanafunzi wa ngazi ya Stashahada (Diploma), ni moja ya mabadiliko yanayokwenda kutokea hapo mbeleni.

Kutokana na maelezo ya serikali inasemekana ngazi ya stashahada inauhitaji zaidi na pia ina haki sawa ya kunufaika na mikopo kama ilivyo kwa ngazi ya Shahada (Degree).

Kitu kinachozunguka kichwani mwangu ni swali la je, Advanced level itakuwa na mvuto tena kwa wanafunzi ikiwa mikopo hii itaanza kugawiwa. Maana kwa mpaka sasa tayari ngazi hiyo imeshakosa mvuto kwa watu wengi juu ya kusemekana ni ngumu na haimuandai mwanafunzi na taaluma yeyote.

Sasa mikopo ya Diploma ikianza si ndiyo itakufa kabisa, kuna mtu atakayeacha pesa na kwenda kujitesa huko Advance?
Advanced level ni upotezaji wa muda mkuu kwa maoni yangu (hii ni mimi nionavyo staki spana) maana unaenda kupiga madude heavy na wakati ukitoka hapo cheti chako cha advance hakikupi kazi yoyote ile wakati wenzako wa diploma wanagonga madude in real na wanapiga part time wanalipwa huku wakiiandaa njia yao ya ajira kuwa laini maana kwa sasa MWANAFUNZI ALIYEMALIZA DIPLOMA AKAWA ANASOMA DEGREE ANA WIGO MPANA SANA WA KUPATA KAZI KULIKO YULE WA DIRECT(form 6) maana anaweza ku apply kazi kwa cheti cha diploma halafu akashift masomo yake from full time tu evening class au aka postpone kwa muda huku akiendelea kula pensheni.

Hapo sijaongelea mazingiara ya kazi na cv anayoitengeneza ,IFIKE HATUA TUACHE KUSOMA KWA SABABU YA TITLE ZA KIJINGA MAANA WATU WANAONA YULE ANAYESOMA ADVANCE AMEFAULU NA WA DIPLOMA KAFELI SHIDA INAKUJA BAADA YA WOTE KUMALIZA MIAKA YAO YA MASOMO HAPO NDO TOFAUTI INAONEKANA SASA.
 
Habari wakuu,

Leo nimepitia moja ya mkakati wa serikali kuhusiana na mabadiliko ya kielimu nchini, na nikaona suala la kunufaisha mikopo wanafunzi wa ngazi ya Stashahada (Diploma), ni moja ya mabadiliko yanayokwenda kutokea hapo mbeleni.

Kutokana na maelezo ya serikali inasemekana ngazi ya stashahada inauhitaji zaidi na pia ina haki sawa ya kunufaika na mikopo kama ilivyo kwa ngazi ya Shahada (Degree).

Kitu kinachozunguka kichwani mwangu ni swali la je, Advanced level itakuwa na mvuto tena kwa wanafunzi ikiwa mikopo hii itaanza kugawiwa. Maana kwa mpaka sasa tayari ngazi hiyo imeshakosa mvuto kwa watu wengi juu ya kusemekana ni ngumu na haimuandai mwanafunzi na taaluma yeyote.

Sasa mikopo ya Diploma ikianza si ndiyo itakufa kabisa, kuna mtu atakayeacha pesa na kwenda kujitesa huko Advance?
Ila ishu ya mkopo kwa ngazi ya diploma waliileta mwaka 2018 watu wakapigwa pesa za usajili HESLB halafu ishu ikafia hewani 🤣🤣
 
Sidhani kama itawezekana ,ni sawa na porojo za mradi wa gesi kwamba Mtwara itakuwa kama Dubai na matumizi ya kuni na miata itakuwa historia Tz, lakini mpaka leo hakuna kinacho eleweka.
 
Sidhani kama itawezekana ,ni sawa na porojo za mradi wa gesi kwamba Mtwara itakuwa kama Dubai na matumizi ya kuni na miata itakuwa historia Tz, lakini mpaka leo hakuna kinacho eleweka.
Jiwe akaja na gia ya gas and petroleum ,watu wakajaa kweny kozi saiv kimyaa
 
Habari wakuu,

Leo nimepitia moja ya mkakati wa serikali kuhusiana na mabadiliko ya kielimu nchini, na nikaona suala la kunufaisha mikopo wanafunzi wa ngazi ya Stashahada (Diploma), ni moja ya mabadiliko yanayokwenda kutokea hapo mbeleni.

Kutokana na maelezo ya serikali inasemekana ngazi ya stashahada inauhitaji zaidi na pia ina haki sawa ya kunufaika na mikopo kama ilivyo kwa ngazi ya Shahada (Degree).

Kitu kinachozunguka kichwani mwangu ni swali la je, Advanced level itakuwa na mvuto tena kwa wanafunzi ikiwa mikopo hii itaanza kugawiwa. Maana kwa mpaka sasa tayari ngazi hiyo imeshakosa mvuto kwa watu wengi juu ya kusemekana ni ngumu na haimuandai mwanafunzi na taaluma yeyote.

Sasa mikopo ya Diploma ikianza si ndiyo itakufa kabisa, kuna mtu atakayeacha pesa na kwenda kujitesa huko Advance?
hao wlomaliza advance tu peke yao mikopo kipengele sasa watake kuwapa na hao wa diploma wataweza kweliiii
 
Habari wakuu,

Leo nimepitia moja ya mkakati wa serikali kuhusiana na mabadiliko ya kielimu nchini, na nikaona suala la kunufaisha mikopo wanafunzi wa ngazi ya Stashahada (Diploma), ni moja ya mabadiliko yanayokwenda kutokea hapo mbeleni.

Kutokana na maelezo ya serikali inasemekana ngazi ya stashahada inauhitaji zaidi na pia ina haki sawa ya kunufaika na mikopo kama ilivyo kwa ngazi ya Shahada (Degree).

Kitu kinachozunguka kichwani mwangu ni swali la je, Advanced level itakuwa na mvuto tena kwa wanafunzi ikiwa mikopo hii itaanza kugawiwa. Maana kwa mpaka sasa tayari ngazi hiyo imeshakosa mvuto kwa watu wengi juu ya kusemekana ni ngumu na haimuandai mwanafunzi na taaluma yeyote.

Sasa mikopo ya Diploma ikianza si ndiyo itakufa kabisa, kuna mtu atakayeacha pesa na kwenda kujitesa huko Advance?
Ni upuuzi mkubwa San huu mm mtot wa kak angu alipata 1 .7 yake lkn Bab ake amaekataa katu katu mambo ya advance amempania mwanae apige chuo moja kwa moja Tena Cha serekali somee taalumaa kuliko huu upuuzi wa Aleve
 
Labda kama unasemea baadhi ya kombi kwa upande wa sanaa.
Ila kwa mwanafunzi anayetazamia mbali kwa upande wa kazi zinazohusisha sayansi hawezi kuiponda elimu ya A'level. Nasisitiza kwa anayetazamia mbali.
 
Labda kama unasemea baadhi ya kombi kwa upande wa sanaa.
Ila kwa mwanafunzi anayetazamia mbali kwa upande wa kazi zinazohusisha sayansi hawezi kuiponda elimu ya A'level. Nasisitiza kwa anayetazamia mbali.
Unaongea nn mkuu?
 
Unaongea nn mkuu?
Ninaongea nilichokiona na ninachokifanyia kazi. Kama ulipita hiyo level ili tu ufaulu mtihani, sioni ajabu wewe kuwa na mtazamo wa hivyo.Nipo upande wa high tech na naona matumizi makubwa ya Advanced Mathematics.Hata ule moyo wa kupambana ulioupata A'level mi naona unakurahisishia kusoma kitu kipya na kukielewa haijalishi ni kigumu kiasi gani. Note: naongelea upande wa masomo ya sayansi nilipo na uzoefu napo.
 
Back
Top Bottom