conservative3
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 1,130
- 797
Advanced diploma mara nyingi wana idadi sawa ya miaka ya masomo na shahada ya kwanza.kwa baadhi ya vyuo na kozi huwezi pata mastarz degree km huna post graduate diploma ila lwa wengine unasoma postgraduate ikiwa gpa ya degrer au advance diploma haijakidhi vigezo.
Kwa upande wa shahada tanzania zilikua chache hivyo hata km ana vigezo na anataka kusoma mfano commu ity development hana jinsi zaidi ya kwenda mzumbe idm akasome advance diploma kwa maana udsm wanatoa ba sociology.
Lakini pia malengo ya kuanzisha kozi ilikua kuwapata watu wewenye maarifa ya shahada kwa maana wasimamizi na wenye ujuzi wa kutenda kazi kwa maana technical skill ili kupunguza gap la upungufu wa watumishi.hapa ndipo shajada anapigwa bao kwa maana kwenye maarifa wako sswa na advanced deploma ila ukija field kwenye skills mtu wa shahada anakuwa anaachwa mbali. Na ndoo maana mshahara wa afvanced diploma na wa degree ni rank moja.
Hivyo basi advanced diploma ni zaidi ya ordinary diploma ila inalingana na shahada
Kwa upande wa shahada tanzania zilikua chache hivyo hata km ana vigezo na anataka kusoma mfano commu ity development hana jinsi zaidi ya kwenda mzumbe idm akasome advance diploma kwa maana udsm wanatoa ba sociology.
Lakini pia malengo ya kuanzisha kozi ilikua kuwapata watu wewenye maarifa ya shahada kwa maana wasimamizi na wenye ujuzi wa kutenda kazi kwa maana technical skill ili kupunguza gap la upungufu wa watumishi.hapa ndipo shajada anapigwa bao kwa maana kwenye maarifa wako sswa na advanced deploma ila ukija field kwenye skills mtu wa shahada anakuwa anaachwa mbali. Na ndoo maana mshahara wa afvanced diploma na wa degree ni rank moja.
Hivyo basi advanced diploma ni zaidi ya ordinary diploma ila inalingana na shahada