Advanced Diploma: Ni Digrii ama nini?

Advanced Diploma: Ni Digrii ama nini?

Kea ufaham wangu ninaojua, advanced diploma sio degree. Iko hivi kwa sis sector ya uhandisi baadh ya vyuo kama dit, degree huwa in miaka minne kwa fresh students. Na mitatu kwa wanafunz waliosoma diploma, kwa fresh student anapoingia mwaka wa tatu anakuwa yuko advanced diploma na akisoma na mwaka wa NNE anakuwa na bachera degree kwa upande mwingine wanafunzi walisoma diproma anapokuwa anapoingia mwaka wa pili anakuwa yuko advanced diploma na anapomalizia mwaka wa tatu anakuwa na bachera degree
 
Kilaza ni wewe usiyejua hilo hadi umri huu....
Hivi kuna A level ambaye ni professional wa kitu fulan?! Mtu certificate au diploma huyu ni professional wa kitu flan ie education, nurse, and so forth .Unadandia mambo usiyoyajua tafuta cha kufanya wewe kama kufyetua tofali za udongo hii itakufaa
 
Hivi kuna A level ambaye ni professional wa kitu fulan?! Mtu certificate au diploma huyu ni professional wa kitu flan ie education, nurse, and so forth .Unadandia mambo usiyoyajua tafuta cha kufanya wewe kama kufyetua tofali za udongo hii itakufaa
uwiii huo ndo ukweli mchungu 😀😀😀😀😀😀 ladyred
 
Hivi kuna A level ambaye ni professional wa kitu fulan?! Mtu certificate au diploma huyu ni professional wa kitu flan ie education, nurse, and so forth .Unadandia mambo usiyoyajua tafuta cha kufanya wewe kama kufyetua tofali za udongo hii itakufaa
Hapa tunazungumzia 'equivalency' na sio profession flani..
Ukiwa na cheti cha form six na ukiwa na diploma wote mnaingia degree...they are equivalents
Hujawahi ona kwenye criteria za kuingia vyuoni?am huko chuo unakusikia kwenye TV na radio
 
Hapa tunazungumzia 'equivalency' na sio profession flani..
Ukiwa na cheti cha form six na ukiwa na diploma wote mnaingia degree...they are equivalents
Hujawahi ona kwenye criteria za kuingia vyuoni?am huko chuo unakusikia kwenye TV na radio
Industrial country, wonderful enough and unfortunately I didn't know really who am I speaking to!
 

Mkuu umekwisha sema Adv Diploma sasa shida iko wapi? Kwa hiyo basi kwa Tanzania Adv Diploma ni degree? Hivi hiyo Adv. Diploma umeangalia alichukua masomo gani? Je, degree? Then, ndio nyinyi mnakuja kusema elimu imeporomoka. Angalieni vigezo na masomo ambayo mtu amejifunza kupata hiyo shahada nk. Spain kwa mfano wao wanatumia Baccalaureate lakini kama umefanya nao kazi utagundua wanapwaya sana katika sehemu flani flani, tuache kurukia mambo na kutaka kuhalalisha Advance diploma kuwa sawa na degree. Huo ni umburukenge.
Huna unalolifahamu better keep quite and let those who knows better to inform you
 
Industrial country, wonderful enough and unfortunately I didn't know really who am I speaking to!
Umenichekesha sana we mtu.
Khaa kwa hiyo ukaona umthibitishie in English kumuonesha kuwa uko educated enough to know that advance diploma is not equivalent to 1st degree..

I hope ujumbe amepata
 
Hivi kuna A level ambaye ni professional wa kitu fulan?! Mtu certificate au diploma huyu ni professional wa kitu flan ie education, nurse, and so forth .Unadandia mambo usiyoyajua tafuta cha kufanya wewe kama kufyetua tofali za udongo hii itakufaa
Vitu viwili tofauti, tusichanganye report
 
Industrial country, wonderful enough and unfortunately I didn't know really who am I speaking to!
Jibu swali mkuu mbona unaingia chini ya meza..diploma na form six ni equivalents or not unapotaka kuanza degree?..
 
Advance dip ni diploma ya 2 au ya juu. Kweli awali ilichukuliwa kama degree, lakn cku hizi vyuo vingi vya adv dipl vimesitishwa na wanatoa bachelor au degree. So, leo ukisoma adv dipl ni 2 yrs while bachelor ni 3-4 yrs hivyo hata salary mara nyingi inakuwa inatofautiana. Na baadhi ya fani leo mwenye ordinary dipl na yule mwenye adv dip woote wanachukuliwa hawana tofauti kitaaluma.
 
Mimi nilichokuwa najua ni kuwa Mwanafunzi anayesoma Adv Dipl anakuwa amekosa sifa sitahiki kimax za kuingia chuo kikuu, kwahiyo anasoma hiyo na akimaliza anaingia chuo 2nd year.
Umejichanganya.
 
Nashangaa watu hawajui kutofautisha hizi diplomas ,hii Advanced diploma ilikuwa inatolewa na Institutes hapa nchini kama vile TIA, IFM, DIT, MIST, IAA, IDM, UCLAS etc hizi institute zilikuwa zinatoa Advanced diploma huku Universities zikitoa Bachelor degree, kwahyo wahitimu wa Institutes na wale wa Universities walihesabika/wanahesabika kuwa na sifa sawa. Advanced diploma ni equivalent na degree, hata matangazo ya kazi huwa wanaandika Bachelor degree /Advanced diploma from recognized institutions, lakini hii Advanced diploma imeshafutwa vyuo vyote tajwa hapo juu vinatoa bachelor degree.
Hiyo advanced diploma ilisomwa kwa sifa zile zile za kwenda degree kama vile kuwa na A level, Ordinary diploma,au FTC.
Msichanganye na ordinary diploma ambayo wanasoma waliotoka form 4.
 
Back
Top Bottom