Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,371
- 29,937
Ha hah ha ha pole sana mie baada ya form six nkasema physics mie na wewe uhusiano wetu unaishia hapa tutaona MajaliwaMie nilikomaa nayo mpaka mwisho nikabahatika na E japo siamini sana kama yalikua matokeo yangu maana nilitegemea 0