Habari wadau,
Naomba kupata experience yenu ya pikipiki za Adv kwa sasa nina options 3, Honda (& PCX), Kinglion na Sinoray. Lakini pia bike moja ya Sinoray, ina mwonekano wa Honda Vario. Naom a experience juu ya performance, durability, availability ya spare, changamoto zake etc.
Naamini Honda ama Yamaha zitakuwa nzuri zaidi ila bajeti yangu inaweza kuwa changamoto ila yote kwa yote ningependa kupata overall experience. Nawasilisha.
Naomba kupata experience yenu ya pikipiki za Adv kwa sasa nina options 3, Honda (& PCX), Kinglion na Sinoray. Lakini pia bike moja ya Sinoray, ina mwonekano wa Honda Vario. Naom a experience juu ya performance, durability, availability ya spare, changamoto zake etc.
Naamini Honda ama Yamaha zitakuwa nzuri zaidi ila bajeti yangu inaweza kuwa changamoto ila yote kwa yote ningependa kupata overall experience. Nawasilisha.