Abdillahjr
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 694
- 320
Wanawake wanapotetea haki yao wanakua na umoja sana,lakini linapokuja suala la haki/maendeleo ya mwanamke mmoja wanakua wanapingana na kupigana majungu na fitina, mfano cheo kazini,uzuri,kipato na hata kwenye kugombea uongozi wako tayari kumpa mwanaume kuliko mwanamke mwenzao.
Mfano hai mkubwa wa maisha yote- mwanaume anapoona rafiki yake wa kiume ana mke/binti mzuri sana na yeye atatafuta mwanamke mzuri zaidi au kama yule, lakini mwanamke walio wengi mwenzie akiwa na mwanaume mzuri na mjuvi basi atafanya juu chini amuibe na kutembea nae.
Je kweli adui wa maendeleo ya mwanamke ni mwanamke mwenzie majibu tafadhali- muongozo; majibu ya kilusinde lusinde hayaruhusiwi.
Mfano hai mkubwa wa maisha yote- mwanaume anapoona rafiki yake wa kiume ana mke/binti mzuri sana na yeye atatafuta mwanamke mzuri zaidi au kama yule, lakini mwanamke walio wengi mwenzie akiwa na mwanaume mzuri na mjuvi basi atafanya juu chini amuibe na kutembea nae.
Je kweli adui wa maendeleo ya mwanamke ni mwanamke mwenzie majibu tafadhali- muongozo; majibu ya kilusinde lusinde hayaruhusiwi.