Infact China ni open prison/jail! Ni mahabusu ya Wazi! maana wanaishi kama walo mahabusi/jela kwa demokrasia inavyominywaChina wakati mwingine inakuwa na misimamo ya hatari sana, ya ku support udikteta jambo ambalo ni hatari kwa China yenyewe. Nchi ikija kuingia kwenye machafuko, raia wa kichina walioko Tanzania wanaweza kuwa target kwa sababu ya kulipiza kisasi. Ni hatari sana, japo wanadhani watanzania ni waoga.
Uko sahihi. Kwanza kitu kilichochelewesha ni kuwa angalau serikali yao inaendeleza nchi na haiendekezi rushwa.Ukomunisti ni unyama
Kuna siku China italipuka kama Iran, wanadamu wanapenda uhuru
Adui wa kwanza ni wahuni huko ccm; hao unaosema wao ni watafuta fursa tu!Puuzi so.called Waziri wa Mambo ya Nje Anampongeza kwa kupata asilimia 98. Hakuongelea mauaji yaliyotokea 29.10.2025.
Huyu ndiye adui wetu!
View attachment 3529067
Yani apoteze mda wake Kwa kuwaongelea watu waliotaka wenyewe kufa?Puuzi so.called Waziri wa Mambo ya Nje Anampongeza kwa kupata asilimia 98. Hakuongelea mauaji yaliyotokea 29.10.2025.
Huyu ndiye adui wetu!
View attachment 3529067
ukosahihiMiaka 50 mbele China itakuwa imesambaratika.
Eti unaamini urafiki wa china hawa hawaPuuzi so.called Waziri wa Mambo ya Nje Anampongeza kwa kupata asilimia 98. Hakuongelea mauaji yaliyotokea 29.10.2025.
Huyu ndiye adui wetu!
View attachment 3529067