Code:
Hivi huu utaratibu wa kutokusoma utaisha lini??
Hv mleta mada umesoma kilichoandikwa kwenye gazet?? Usisome kichwa ukakimbilia kutoa post,
Nimekudharau sana.
Kwa faida ya wengine .
Gazet linaongelea wamachinga wa kisiasa ambao kiufupi wamebainishwa kuwa ni wakuu wa mikoa na wilaya. Ambao ni mzigo kwa taifa . Wapo sehem ambayo hawakupaswa kuwepo . Hao ndio gazet huwaongelea na si wamachinga hawa wa kitaa. Hata kichwa chenyewe hujieleza.
Wamachinga wa kisiasa.