Lutandagula
JF-Expert Member
- Apr 8, 2018
- 1,762
- 2,157
Tuacheni kuimba ngonjera tu ambazo hazisaidii kuondoa na kukifuta kabisa kirusi kiitwacho CCM,hawa jamaa hawana nia njema na ustawi wa afya ya Taifa letu,99% ni wachumia tumbo na wana unafiki wa hali ya juu.
Viongozi wengi wanafanya kazi ya kuridhisha na kufurahisha mtu mmoja hasa Mwenyekiti wao,kwa hali hii kama taifa hatutasonga mbele,rasilimali zetu zitabaki za wacache,Vijana tuna nguvu na uwezo wa kumfuta huyu mchwa aitwae CCM.
Viongozi wengi wanafanya kazi ya kuridhisha na kufurahisha mtu mmoja hasa Mwenyekiti wao,kwa hali hii kama taifa hatutasonga mbele,rasilimali zetu zitabaki za wacache,Vijana tuna nguvu na uwezo wa kumfuta huyu mchwa aitwae CCM.