Lucas philipo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,034
- 2,657
Hujielewi wewe!!!!!Kilangi ni Kilaza sana,Ameteuliwa kikabila (MSUKUMA MWENZETU) kama ikivyo wakuu wa idara zote ni wsukuma wenzetu na hakuna anayehoji ila wachagga ambao hawakuwa raisi,wala waziri mkuu,wala makamo wa raisi haijatokea mchaga wanalaumiwa kushika madaraka na kupendeleana.
Tangu kupata uhuru,NYERERE,MWENYI,MKAPA,KIKWETE,WARIOBA,MSUYA,KARUME,SUMAYE,MALECHELA,LOWASSA,MAJALIWA ,POMBE wote hakuna mchagga lakini watu wanalia wachaga wanapendelewa na huyu wa sasa ameamua kuwakomoa kuanzia kwenye siasa,ajira,teuzi zake .
Hajateua :-
Waziri yeyote toka Kilimanjaro.
Hajateua Balozi toka Kilimanjaro
Hajateua Kamishna yeyote mambo ya usalama toka kilimanjaro.
Hajateua Mkurugenzi yeyote wa Bodi toka Kilimanjaro na hawa madokta kila siku anateua anawapiga chini wote toka kilimanjaro.
Kumbuka Wachaga ni wapambanaji,Mwaka huu wamevunja rekodi ya mwka 2000. Wanarud Moshi kwa wingi kwenda kutoa sadaka za shukrani na pia kuelezea wakichokuwa wanafanya mjini.
Wanakabidhiwa majukumu mapya ya kusomesha wadogo zao na ndugu wasio jiweza.
Wanandaliwa kisaikolojia kwa chuki dhidi yao na sasa wanajua la kufanya,KWA KIFUPI HAWANA TOFAUTI NA TAIFA LA ISRAELI NA HUYO MTESI WAO NI FARAO ambaye baadae ataishia kama farao
Unacholalamikia nawewe unacho na umethibitisha katka uandishi wako yaani unalalmika wachagga wamesahaulika hv labda mie sjui kwan wwchagga ni wa Kilimanjaro tu????? Koz unawatetea wa Kilimanjaro tu utafkr ndo wqchaaga pekee... Ati unasema ww msukuma popoma kweli!!!
Ukidai wa Kilimanjaro wateuliewe halafu hutaji wa maeneo mengne basi ww mkabila mkubwa saana koz unahangaika kutetea utokako mbuuuuzi ww