Adhabu ya wala rushwa!

King Kong III

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
51,638
68,575
Nimejaribu kupitia hotuba ya baba wa taifa alisema "Tumeamua kua wakali sana na wala rushwa,kwamba ikithibitika mtu amekula rushwa kwamba aliyetoa na aliyopokea wote wanapata adhabu na hatukuwaachia mahakimu peke yao,anaenda ndani miaka miwili na viboko 12 wkt anaingia na 12 akiwa anatoka akamuonyeshe mkewe"

Pia Mh mbatia ameshauri kwamba ikithibitika wamekula rushwa wafukuzwe ubunge na pia waende jela miaka mi5,Sasa sheria zinasemaje kwa wala rushwa,je ni miaka miwili jela au mitano?
 
Sheria namba 3 ya mwaka 1988 ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge, inasema Mbunge anaweza kufungwa miaka mitano kama atapatikana na hatia ya rushwa
Unaweza kuona anguko kubwa linalowakabili hao watuhumiwa.

 
Tunasubiri uthibitisho ili kila mtu ahukumiwe kwa haki. Wahusika wasipojiuzuru, basi nchi hii litakuwa shamba la bibi, kila anayepata nafasi, anachuma.
 
Back
Top Bottom