- Thread starter
- #101
Asante mkuumtu unawez kuuwa bila kukusudia ndo hivi sasa. Pole sana kaka
Asante mkuumtu unawez kuuwa bila kukusudia ndo hivi sasa. Pole sana kaka
Wewe acha tu ,Inasikitisha inaumiza inahuzunisha sana,ila ndio hivyo lazima ukubaliane na matokeo ili maisha yaendelee.Wanawake wa aina hii ndio wanafanya na sisi wengine wote tuonekane wapumbavu.....sasa mfano ukutane na mkaka mtoa mada hawez kukuamini utachezewa (unalipwa malipo ya mtu mmoja aliyemuumiza huko mahusiano ya nyuma)
HAHAHAAAA UNAMPOTEZEA TU..." TWAHONGA BEI GANI ..TWASAIDIA WANGAPI HATUNA HATA UNDUGU NAO...WANAUME TUMEJALIWA UTU HASA TUKIWA NACHO.." ILA KAMA ANAOLEWA ASIRUHUSU MAHUSIANOHapo nikuwaroga tu hakuna namna!
Ntamwambia asante na kwaheriUlianza mahusiano naye akiwa tayari ana mimba ya mwezi mmoja,wakati huo wewe hukujua lolote kuhusu mimba,miezi mitatu baadaye mtu wake anakuja kugundua kwamba Demu wake ana anachepuka nawewe,anambwaga yeye pamoja na mimba yake.
Demu anakusimulia kila kitu anakuomba pesa ili akachomoe mimba kwa madai kwamba hana uwezo kujihudumia yeye akiwa na mimba pamoja na mtoto atakayezaliwa,Unamshauri asitoe
mimba utamsaidia kila kitu,demu anakubali na kushukuru sana, Baada ya kukubali nawewe unachomeka haja ya moyo wako, unamwambia bibie "mtoto akishafikisha miaka mitatu itabidi nikuoe, Demu anakubali na kuendelea kushukuru.
Mtoto anazaliwa sura kama ya baba yake, baada ya kutimiza miaka mitatu unamwambia bibie," Mtoto keshatimiza umri ambao tulishakubaliana kuoana inabidi nije kwenu nijitambulishe rasmi tuanze maisha ya ndoa, Anakujibu "Samahani najua nitakukwaza sana suala la kuoana haliwezekani kwasasa, baada baba yake mtoto kugundua mtoto ni wake alikuja tukamaliza tofauti zetu, na tumekubaliana kuoana mwakani, kilichonifanya nikubali kurudiana naye ni kitu kimoja tu sipendi kuzaa watoto kwa baba tofauti,nilikubali kuoelwa na wewe kwasababu sikuwa na namna nyingine.
Ukweli ni kwamba nakupenda sana na nathamini sana msaada wako,nakushukuru sana kwa moyo wako wa upendo please usiniache,sipo tayari kuachana nawewe hata nikiolewa, bila wewe pengine ningeshakufa nikitoa mimba hata nisingekufa lakini huyu mtoto asingekuwepo, Sina cha kukulipa zaidi ya kukuombea kwa Mungu.
Ni ndefu sana nisikuchoshe, Utafanya nini?
Apo ndo udhaifu wa wanawake ulipo na kama mwanaume unautumia upasavyo....sipo tayari kuachana nawewe hata nikiolewa,
What goes around comes aroundUlianza mahusiano naye akiwa tayari ana mimba ya mwezi mmoja,wakati huo wewe hukujua lolote kuhusu mimba,miezi mitatu baadaye mtu wake anakuja kugundua kwamba Demu wake ana anachepuka nawewe,anambwaga yeye pamoja na mimba yake.
Demu anakusimulia kila kitu anakuomba pesa ili akachomoe mimba kwa madai kwamba hana uwezo kujihudumia yeye akiwa na mimba pamoja na mtoto atakayezaliwa,Unamshauri asitoe
mimba utamsaidia kila kitu,demu anakubali na kushukuru sana, Baada ya kukubali nawewe unachomeka haja ya moyo wako, unamwambia bibie "mtoto akishafikisha miaka mitatu itabidi nikuoe, Demu anakubali na kuendelea kushukuru.
Mtoto anazaliwa sura kama ya baba yake, baada ya kutimiza miaka mitatu unamwambia bibie," Mtoto keshatimiza umri ambao tulishakubaliana kuoana inabidi nije kwenu nijitambulishe rasmi tuanze maisha ya ndoa, Anakujibu "Samahani najua nitakukwaza sana suala la kuoana haliwezekani kwasasa, baada baba yake mtoto kugundua mtoto ni wake alikuja tukamaliza tofauti zetu, na tumekubaliana kuoana mwakani, kilichonifanya nikubali kurudiana naye ni kitu kimoja tu sipendi kuzaa watoto kwa baba tofauti,nilikubali kuoelwa na wewe kwasababu sikuwa na namna nyingine.
Ukweli ni kwamba nakupenda sana na nathamini sana msaada wako,nakushukuru sana kwa moyo wako wa upendo please usiniache,sipo tayari kuachana nawewe hata nikiolewa, bila wewe pengine ningeshakufa nikitoa mimba hata nisingekufa lakini huyu mtoto asingekuwepo, Sina cha kukulipa zaidi ya kukuombea kwa Mungu.
Ni ndefu sana nisikuchoshe, Utafanya nini?
Hastahili adhabu yoyote..Adhabu gani inamfaa mwanamke huyu?
Anataka aendelee kupata msaada kwako huku akisubir kuolewa mwakaniUlianza mahusiano naye akiwa tayari ana mimba ya mwezi mmoja,wakati huo wewe hukujua lolote kuhusu mimba,miezi mitatu baadaye mtu wake anakuja kugundua kwamba Demu wake ana anachepuka nawewe,anambwaga yeye pamoja na mimba yake.
Demu anakusimulia kila kitu anakuomba pesa ili akachomoe mimba kwa madai kwamba hana uwezo kujihudumia yeye akiwa na mimba pamoja na mtoto atakayezaliwa,Unamshauri asitoe
mimba utamsaidia kila kitu,demu anakubali na kushukuru sana, Baada ya kukubali nawewe unachomeka haja ya moyo wako, unamwambia bibie "mtoto akishafikisha miaka mitatu itabidi nikuoe, Demu anakubali na kuendelea kushukuru.
Mtoto anazaliwa sura kama ya baba yake, baada ya kutimiza miaka mitatu unamwambia bibie," Mtoto keshatimiza umri ambao tulishakubaliana kuoana inabidi nije kwenu nijitambulishe rasmi tuanze maisha ya ndoa, Anakujibu "Samahani najua nitakukwaza sana suala la kuoana haliwezekani kwasasa, baada baba yake mtoto kugundua mtoto ni wake alikuja tukamaliza tofauti zetu, na tumekubaliana kuoana mwakani, kilichonifanya nikubali kurudiana naye ni kitu kimoja tu sipendi kuzaa watoto kwa baba tofauti,nilikubali kuoelwa na wewe kwasababu sikuwa na namna nyingine.
Ukweli ni kwamba nakupenda sana na nathamini sana msaada wako,nakushukuru sana kwa moyo wako wa upendo please usiniache,sipo tayari kuachana nawewe hata nikiolewa, bila wewe pengine ningeshakufa nikitoa mimba hata nisingekufa lakini huyu mtoto asingekuwepo, Sina cha kukulipa zaidi ya kukuombea kwa Mungu.
Ni ndefu sana nisikuchoshe, Utafanya nini?
Sawa mkuuHastahili adhabu yoyote..
We uliingilia shamba la mtu mwenye hati miliki ukaanza ujenzi. Kwa kuwa mwenyewe kajitokeza, ww sepa kimyakimya tena bila kinyongo
Anataka aendelee kupata msaada kwako huku akisubir kuolewa mwakani
Tenda wema uende usingoje malipo achana kiroho Safi ishi maisha yako
Mungu atakulipa na yeye malipo yake atayapata
Ungekuwa wewe ungejuaje kama ana mimba?Wewe ulifuata nini kwa wenye mimba za watu umekosa k zoote unaenda hadi kwa wamama vijachoo ulaaniwe na sanamu yako itengenezwe tupwe mto wami.
Huna hayaa kabisaa ..
Sikujua ilikuwa mimba ya mwezi mmoja tu au wiki kadhaaUsianzishe mahusiano serious na dada mjamzito, akili zinakuwaga nyingine kabisa
Hujakutana na maajabuSema wana mna moyo mi demu akiwa na mimba ya msela ni tiketi moja kwa moja