Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Rais wa shirikisho la muziki nchini Addo November ametoa taarifa fupi kuhusiana na kifo cha Mwanamuziki wa Injili Irene Robert, kuwa alikutwa katika chumba cha Hotel, akiwa mtupu huku akiwa amejisaidia.
Inadaiwa Irene alikuwa akiishi na mtu hotelini hapo kwa zaidi ya wiki tatu.
Rais November ameviomba vyombo vya usalama, kufanya uchunguzi wa kifo cha mwanamuziki huyo, licha ya kuwa hakuna kesi ya mauaji iliyofungiliwa.
Rais wa shirikisho la muziki Tanzania Addo November
Mwimbaji huyo wa nyimbo za Injili nchini, alifariki dunia Machi 20, 2026 baada ya kuugua ghafla. Taarifa za kifo chake zilithibitishwa na mwimbaji mwenzake, Walter Chilambo, kupitia ukurasa wake wa Instagram, akionesha masikitiko kufuatia kuondokewa na rafiki yake wa karibu.
Rais November ameviomba vyombo vya usalama, kufanya uchunguzi wa kifo cha mwanamuziki huyo, licha ya kuwa hakuna kesi ya mauaji iliyofungiliwa.
Rais wa shirikisho la muziki Tanzania Addo November