Kiukweli hao magamba c hebu tafadhari wajitahidi kuonyesha hashima kwa CHADEMA vinginevyo kuendelea kutumia bendera hiyo ni kututaka,tutawaharibia mapema sana na wasijerogwa wakakatiza nayo mitaa ya Mwanza.Hawatasahau kilichowaleta hapa mjini,Rangi za magamba wenzao zipo nyingi mara kijani mara njano kwanini wasitumie hizo,wanazani it will be an advantage through CDM`S Flag to gain a nearly political adc growth, hilu mayu bumama shi.