Adam Malima ni 'mbumbumbu?'

tofauti ni kwamba Wiliam ye ni mbumbumbe wa kudumu.miaka 62 lakini kama bado yupo kwenye balehe

- Le mburulazzz hupiga sana kelele hapa na kuishi kupigwa kwenye uchaguzi kama Chalinze na Kalenga si unajua nani wamepigwa na maekelele kibao humu!!

Le Mutuz System
 

Hizi nafasi za "SANDAKARAWE" zina matatizo sana. Wiki iliyopita nilimsikia Adam Malima, nikamshangaa! hivi kweli huyu mtu anajitambua achilia mbali kufahamu kwamba yeye ni waziri. Ni mtupu kabisa kichwani hajua hata basic sheria za nchi, no wonder alikutwa ni silaha ya kuwindia hotelini Moro. Akijibu swali la UDA, pamoja na mambo mengine alisema hivi " Nilimuomba Simon Group nyaraka za baraza wa mawaziri zilizomu idhinishia kumuuzia shirika la UDA, akawa hana" Just Imagine a minister hafahamu kwamba nyaraka za baraza la mawaziri ni CONFIDENTIAL na mtu yeyote kuwa nazo ni UHAINI na adhabu yake ni KUNYOGWA HADI KUFA.
 
mbumbumbu mwingine huyu hapa,hajui hata source ya umbumbumbu unaozungumzwa

ungejua hata iyo sheria ya manunuzi huku makazini wanaiita "sheria ya mnyika" baada ya kufanya amendiment ya vifungu vya sheria hiyo mpya kw 99%,sasa la saba wa namna hiyo si prof kwa ccm.....
 
ungejua hata iyo sheria ya manunuzi huku makazini wanaiita "sheria ya mnyika" baada ya kufanya amendiment ya vifungu vya sheria hiyo mpya kw 99%,sasa la saba wa namna hiyo si prof kwa ccm.....

umenikumbusha issue muhimu sana mkuu,ushiriki wa Mnyika kwny hyo sheria.sasa Malima hajui kama kuna sheria mpya,anadai sheria ni ya mda mrefu ifumuliwe
 
mbona hushangai slaa aliyekana kuwepo kwa kipengele cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chama ambacho yeye ndo mtendaji mkuu?


HAYA NGOJA NISHANGAE URIDHIKE..... "Aaaaaaahhhhh!! duh"
 
- Hoja yake ya msingi ni kwamba Sheria ifumuliwe upya haifai, sasa kosa lake ni nini hasa?

Le Mutuz System


wewe kubwa jinga, huoni kasema sheria ni kongwe imekaa miaka 10?. Na imefanyiwa maboresho mwaka jana tu.
 

Wewe si ni CHADEMA? Sasa tangu lini ukampenda mwigulu? Acheni unafiki, mwigulu ni kichwa ukiach siasa zake za uuaji
 
by mmaranguoriginal.;
wewe ndio unajua leo kwamba malima ni mbumbumbu



mmaranguOriginal miezi michache iliyopita ulikuwa na akili zako timu ila siku hizi akili umeiweka lumumba matokeo yake umebaki na box tupu la fuvuu!
 
Last edited by a moderator:
Future president mpumzishe mkuuu
Hivi ile kesi ya yule Changu wa kule Moro 'aliyedozi' naye kule hotelini Moro na kumkomba kila kitu including SMG yake ya 'kuwindia' hivi ile kesi ilishahukumiwa kule mahakamani Morogoro?
 

Mkuu sio dem wa udom wa cbe alikuwa changu wa kahumba
 

Chuki yako kwa arsenal itakupeleka motoni.
 

= regulation

Hivi hata Kiingereza huwa mnazikosea "R" na "L" - Majanga

Sheria si msahafu, inaweza kutungwa leo, mwezi baadae ikaonekana ina mapungufu ikaboreshwa - kumbuka hilo.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…