Wale madiwani wa Arusha nao mwanzoni walikuwa na msimamo kama huo huo wa Chagulani lakini leo wako wapi? Nakumbuka wambea walivyoitabiria Chadema kifo kama ingewatosa...walidai, kuwatosa madiwani wanne, thubutu! Haya historia yajirudia Mwanza, yetu macho...kwani hayo maamuzi slaa aliyachukua peke yake.? Kwanza huyu si ndio alisema yeye ni taasisi aonyeshe utasisi wake sasa.!
Leo niko kwenye mood nzuri ntachangia jumatatu
kwani hayo maamuzi slaa aliyachukua peke yake.? Kwanza huyu si ndio alisema yeye ni taasisi aonyeshe utasisi wake sasa.!
Kamati kuu ndiyo nini wenye maamuzi ni Mbowe na Dokta Slaa, pamoja na Lema, siyo mbunge lakini yumo kwenye kamati. Hawa ndiyo wenye chama.
Wewe wasema...
Uwezi kujibu hii kaka Lema anaingia kwenye kamati kuu kama nani?
Wale madiwani wa Arusha nao mwanzoni walikuwa na msimamo kama huo huo wa Chagulani lakini leo wako wapi? Nakumbuka wambea walivyoitabiria Chadema kifo kama ingewatosa...walidai, kuwatosa madiwani wanne, thubutu! Haya historia yajirudia Mwanza, yetu macho...
Ninachojua ni kuwa Chadema imevuka ile threshhold ya kutegemea umaarufu wa mtu mmoja mmoja au kikundi cha watu, si Mbowe, Slaa, Zitto, Mnyika wala Lisu ana ubavu wa kuisambaratisha sembuse Chagulani! Akina TUNTEMEKE wako wengi na watajaribu sana lakini...
Chagulani mi nakujua sana ache kujidhalilisha usiombe radii, maana slaa ameapa lazima wakumalizie chini ili wenje spite bila kupingwa 2015' nenda cuf au ccm au ccm . Tukupe ubunge. Achana na chadema Chama cha wachaga na wamburu. Ungekuwa MCHAga usinge fukuzwa. Nakufahamu ulivyokuwa mwancdm mtiifu lakini Ndio hivyo tena basi tena, kawasalimu, chezea Chaga na mbulu wewe .
Chadema ni chama makini, hawaumi maneno, kumuonea mtu haya wala kuwa na yale mambo ya 'wakajipime'... Hii ishu inanikumbusha sakata la 'Babu' na Beckham & Ronaldo... Babu alisema hakuna mchezaji aliye 'juu ya Man U'...
Kaka subiri matokeo ya uchaguzi 2015 kama tutakuwa wazima tutaona saizi mapema sana kusema matokeo ya kufukuza madiwani.
Kwa hiyo Dokta Slaa, ni Sir Alex?
Hivi kipindi tuliposhinda Arumeru, hawa madiwani walikuwa hawajafukuzwa?? Hacha kulea uzembe. Watu kama wewe ni dizaini ile, unagongewa demu wako, afu unajua, ila unaogopa kuachana nae, kisa anakupa ela ya kula. Utafikili wakati unazaliwa, uliandikiwa kuwa yeye ndiye atakulisha milele...
Chagulani Adams
Chagulani Adams
Nipenda kutumia fursa hii kuwataarifu wapenzi wa mageuzi na wakweli wote kuwa sina mpango wa kujiunga na Chama cha Mapinduzi kama maadui zangu wa kisiasa wanavyozusha kwenye mitandao ya kijamii kuwa nina mpango wa kujiunga na CCM ,
niseme hivi sijawahi kuwa mwanaccm na kamwe sitakuwa mwanaccm mimi bado ni mwanachadema kindakindaki najipanga jinsi ya kuitafuta haki yangu nawaheshimu sana viongozi wangu wa chama hasa mwenyekiti F.Mbowe,Zitto kabwe Dr.Kitila ,na wote wanaopenda ukweli na siyo wafanyia kazi majungu HUKU WAKITAKA NAFASI NYETI NCHINI nimuomba MUNGU KUANZIA SASA WASIPATE NAFASI HIZO MAANA kama wanayafanya haya hawajawa na uhakiki wa amri kwa vyombo vya ulinzi vipi?
wakijua wanausalama wanawalinda sipati picha MUNGU aepushe bali na balaa hilo,niseme binafsi nimesikitishwa na kuhusihwa na majungu kuwa nimeshiriki vitendo vya kifisadi na kukihujumu chama changu nilichokipigania siki zote tangu nikiwa chuoni hadi sasa nitaandika waraka mwingine kueleza kilichojiri na nini hatua inayofuta baadae tuko pamoja ukombozi wa taifa hili ni lazima kwa njia yeyote ile
Tunaongelea issue ya Adam Chagulani, wewe unaleta stori za kuchukuliwa demu, kwa hiyo nyie Chadema kazi yenu kuchukuwa mademu wa watu ndiyo mnaona ujanja...jibu hoja ya msingi chalii yangu Lema, anaingia kwenye kamati kuu kama nani? Na kupitisha azimio Chagulani avuliwe uanachama.
So Chagulani ana personal ishu na Dr. Slaa? Nimeona kama kuna deliberate omission ya jina la Slaa in his "list of people he respect" na pia akiomba Mungu (?) "....wasishike nafasi nyeti..."
If so then, he's commtting a political suicide. Why? Coz Dr. sio mtu wa kushughulika na personal vendettas bali national issues.