pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 11,561
- 14,627
ila kipaumbele ni wenye umri mdogo kwa undergraduate
mkuu fafanua vizuri koz gani
ila kipaumbele ni wenye umri mdogo kwa undergraduate
mnaotaka kusoma japan muwe mnatembelea tovuti ya ubalozi wao kuna nafasi japo ni chache zinasaidia
mkuu hata tupate one tz nzima hatuwez soma chuo kimoja nafasi ni chache mnoooo wenye pesa ndo wanasoma
Uko sahihi mkuu, af anaesema ufaulu mdogo anakichaa cha uzazi mfano mimi nmesoma PCB na matokeo yang phy~D, Chem~B+, bios~B nko st joseph dar, na nmegundua wanaoropoka ndo wanaufaulu duni albahatisha so anataka aheshmike kwa maneno, tatzo nafas haztosh af wengne walichagua hvi vyuo bila kujua matatzo yake, wakiamin vya private ni bora,
Uko sahihi mkuu, af anaesema ufaulu mdogo anakichaa cha uzazi mfano mimi nmesoma PCB na matokeo yang phy~D, Chem~B+, bios~B nko st joseph dar, na nmegundua wanaoropoka ndo wanaufaulu duni albahatisha so anataka aheshmike kwa maneno, tatzo nafas haztosh af wengne walichagua hvi vyuo bila kujua matatzo yake, wakiamin vya private ni bora,
Uko sahihi mkuu, af anaesema ufaulu mdogo anakichaa cha uzazi mfano mimi nmesoma PCB na matokeo yang phy~D, Chem~B+, bios~B nko st joseph dar, na nmegundua wanaoropoka ndo wanaufaulu duni albahatisha so anataka aheshmike kwa maneno, tatzo nafas haztosh af wengne walichagua hvi vyuo bila kujua matatzo yake, wakiamin vya private ni bora,
Wee umefelii bhanaa usijibalaguze nanii alokwambia uchague ukoo na BRN yakoo hahahhah etii B+ upumbavuu uoo ndoupoo st joseph kavipii achachuoo uaply upyaa uonee balaa lakee hahahhhaha kuwa na subira alafuu hatukuitajii matokeo yakoo hapaa unaonyesha jinsi gani ulivyokuwa mjinga kama wahindi wako hahahahah
Saiv ukitaka kijiepusha na vyuo km ivoo pasua vizr .otherwise majanga
Ndugu yangu sio wote wanaosoma St Joseph hawakufaulu vzuri. Rekebisha kauli yako mana mwenyewe nishasoma pale na napajua vzur
Ada yao ni 1.82 mwanafunzi analazmika kuongezea 520000 hafu kwa cc second year hatuna hela ya special fakati,lkn cha ajabu wale waliomaliza fom four wanaosoma miaka mitano ndo wanaspecial fakati ya laki tatu kwa mwaka.
Education wanapewa tablets pale? Wakiwa mwaka wa ngapi?