Ada ya chuo St. Joseph

Ada ya chuo St. Joseph

Ilambo

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2012
Posts
475
Reaction score
89
wadau habr zenu.kuna jamaa angu apo sju anachukua civil alipewa mkopo asilimia km 80 iv sasa coz ada ya chuo ni kubwa analazimika kuongezea km 1500000.tuition fees,kwa namna hiyo inampa wakat mgumu sana na hajui km atamaliza yupo mwaka wa kwanza.sasa nauliza mbona ada yao ipo juu iv.kulinganisha na vyuo vingine vya private.cjui nacte/tcu wanawasaidiaje watu wenye uwezo mdogo wa uchumi
 
Hyo Co kwa St jos Pete yake I Kwa vyuo vngi vya private, kama bugando, kcmc kwa doctor's pia ata wa education nao Wana ada nying ukilinganisha na gvt vyuo, reason nahis ni running cost ya chuo na wao wanaamin wanatoa elimu bora zan vyuo vya gvt
 
Ni marks zakee ndogo zilizompelekaa usiilaumu tcu achaujinga we una 3.15 unataka uende udsm ichochuo zoazoa mwache asome alafuu huo mkopo ashasaidiwaa tena asilimia nzurii tuu nawaa Kampala university wasemajee hahahahaha
 
duuu.taassi inayoratibu usajili wa cyuo inatakiwa iangalie angalau wapunguze atleast m2.
 
duuu.taassi inayoratibu usajili wa cyuo inatakiwa iangalie angalau wapunguze atleast m2.

Usilalamike ndugu hata nami mdogo wangu yuko huko ni shida tupu,,yeye yuko edc mwaka wa pili ila ADA ni 1.82 na bado michango mingine.

Ada ya mtihani ni 75000 Elfu sabini na tano kwa mhula mmoja,INASIKITISHA.
 
Saiv ukitaka kijiepusha na vyuo km ivoo pasua vizr .otherwise majanga
 
hao wanaosoma education wanatozwa gharama kubwa ya kuongezea tuition fee na ada kwa vyuo karibu vyote vya private ni 1,500,000 huo uongozi wa st Joseph unadai unaongeza na 320,000 kwa ajili ya kuwapa wanafunzi tablets ndio maana ikafika 1,820,000 japo tablet wanazozitoa haziendani na gharama hiyo ya 320,000 nyingi zinalalamikiwa kuwa zinakuja zikiwa mbovu hasa speaker na ukiangalia hazina thamani ya bei hiyo.Hivyo ni njia mojawapo ya kunyonya hela za watanzania na kwa upande mwingine elimu wanayoitoa haina ubora huo wa kulipa kiasi hicho cha fedha.Na hiyo hela ya mitihani 75,000 kwa muhula ndio majanga kabisaaa kwa hiyo kwa mwaka ni 150,000.Yan mtu anayesona MD Muhas ana nafuu kuliko anayesoma education st joseph.


Hebu fanya hesabu kidogo japo mimi ilinipga chenga,hiyo pesa ya kutop up 320000 kwa miaka mitatu ni sh ngapi?.
Walidanganywa na hizo tablets kuwa wanalipia 320000 kwa mwaka mmoja na mwaka wa pili wamelazimishwa pia kuilipa.
Nadhani unaona unyonyaji huu na mamlaka husika pia zinajua.nawapa pole wadogo zangu ndo nchi yetu hii.
 
Ni marks zakee ndogo zilizompelekaa usiilaumu tcu achaujinga we una 3.15 unataka uende udsm ichochuo zoazoa mwache asome alafuu huo mkopo ashasaidiwaa tena asilimia nzurii tuu nawaa Kampala university wasemajee hahahahaha

mpuuz we pelek ujinga wako huko
 
Ni marks zakee ndogo zilizompelekaa usiilaumu tcu achaujinga we una 3.15 unataka uende udsm ichochuo zoazoa mwache asome alafuu huo mkopo ashasaidiwaa tena asilimia nzurii tuu nawaa Kampala university wasemajee hahahahaha

------ ww
 
Ni marks zakee ndogo zilizompelekaa usiilaumu tcu achaujinga we una 3.15 unataka uende udsm ichochuo zoazoa mwache asome alafuu huo mkopo ashasaidiwaa tena asilimia nzurii tuu nawaa Kampala university wasemajee hahahahaha

we ni ------
 
Ni marks zakee ndogo zilizompelekaa usiilaumu tcu achaujinga we una 3.15 unataka uende udsm ichochuo zoazoa mwache asome alafuu huo mkopo ashasaidiwaa tena asilimia nzurii tuu nawaa Kampala university wasemajee hahahahaha

-------- ------ ww
 
Ni marks zakee ndogo zilizompelekaa usiilaumu tcu achaujinga we una 3.15 unataka uende udsm ichochuo zoazoa mwache asome alafuu huo mkopo ashasaidiwaa tena asilimia nzurii tuu nawaa Kampala university wasemajee hahahahaha

we nenda kafie mbele
 
Ni marks zakee ndogo zilizompelekaa usiilaumu tcu achaujinga we una 3.15 unataka uende udsm ichochuo zoazoa mwache asome alafuu huo mkopo ashasaidiwaa tena asilimia nzurii tuu nawaa Kampala university wasemajee hahahahaha

kubabako malaya ww
 
Ndugu ukitaka unafuu wa ada unatakiwa kupasua sana ili uwe na nafasi nzuri ya kuingia vyuo vya serikali kama UDSM, UDOM, MZUMBE, SUA n.k. ambapo ushindani wa kuingia kuchukua fani kama za Geology, Petroleum and Gas, Civil huwa zinagombaniwa sana na wale waliofaulu sana ndo wanapata nafasi. mfano kwa programme ya Bachelor of Science in Petroleum Engineering ya UDSM - UD060 kwenye guidebook ya TCU, capacity yake ni wanafunzi 20 tu ila wanaoiomba kwa mwaka huwa ni wengi sana zaidi ya 5,000 hadi 10,000. kwa hiyo mwishoni wanaopata nafasi ni wale tu wenye points za juu sana mfano A=5, B+=4, B=3, C=2, D= 1 na E=0.5 na F=0 kwa Grading system mpya ya BRN. ila kwa wale wa Grading za zamani A=5, B=4, C=3, D=2, E= 1 na S=0.5 na F=0. utakuta mfano mtu ana PCM = P=A, C=A, M=B+ huyu applicant ana uwezo mkubwa sana wa kupata nafasi ya hii programme ya Petroleum au Civil ya UDSM au chuo chochote cha Serikali. ila ukipata ufaulu hafifu mfano PCM una P=D, C=D, M=C hapa nafasi yako ni finyu sana ukishindanishwa na wenzako kwa hiyo utakosa nafasi kwenye vyuo vya serikali ila kwa kuwa ndoto yako ni kuwa Engineer au Daktaria utajikuta nafasi zinazobakia ni kwenye vyuo vya binafsi kama St. Joseph na KIU zenye ada kubwa sana. NIwatie shime wadogo zetu wasome sana ili wapate nafasi kwenye vyuo vya serikali.
 
Unajua bhana 2kae 2fikilie cmpo2 hv..mtu anasoma labda feza pale mwingine mirambo kwamba anayesoma feza ni mtu kutoka familia yenye uwezo tena mkubwa2 wa feza atapiga AAA mimi nliyesoma mirambo ntaambulia CDD kutokana na changamoto milioni..twende kwenye fakati atachaguliwa first wa feza labda petrolium eng, mkopo 100% mm wa mirambo fakati majanga chuo majanga ada kubwa unaendelea kuwachangia walionacho...nini! tabaka..tcu, heslb kaeni mfikilie kuhusu hili
 
Unajua bhana 2kae 2fikilie cmpo2 hv..mtu anasoma labda feza pale mwingine mirambo kwamba anayesoma feza ni mtu kutoka familia yenye uwezo tena mkubwa2 wa feza atapiga AAA mimi nliyesoma mirambo ntaambulia CDD kutokana na changamoto milioni..twende kwenye fakati atachaguliwa first wa feza labda petrolium eng, mkopo 100% mm wa mirambo fakati majanga chuo majanga ada kubwa unaendelea kuwachangia walionacho...nini! tabaka..tcu, heslb kaeni mfikilie kuhusu hili

kweli mkuuu
 
Ndugu ukitaka unafuu wa ada unatakiwa kupasua sana ili uwe na nafasi nzuri ya kuingia vyuo vya serikali kama UDSM, UDOM, MZUMBE, SUA n.k. ambapo ushindani wa kuingia kuchukua fani kama za Geology, Petroleum and Gas, Civil huwa zinagombaniwa sana na wale waliofaulu sana ndo wanapata nafasi. mfano kwa programme ya Bachelor of Science in Petroleum Engineering ya UDSM - UD060 kwenye guidebook ya TCU, capacity yake ni wanafunzi 20 tu ila wanaoiomba kwa mwaka huwa ni wengi sana zaidi ya 5,000 hadi 10,000. kwa hiyo mwishoni wanaopata nafasi ni wale tu wenye points za juu sana mfano A=5, B+=4, B=3, C=2, D= 1 na E=0.5 na F=0 kwa Grading system mpya ya BRN. ila kwa wale wa Grading za zamani A=5, B=4, C=3, D=2, E= 1 na S=0.5 na F=0. utakuta mfano mtu ana PCM = P=A, C=A, M=B+ huyu applicant ana uwezo mkubwa sana wa kupata nafasi ya hii programme ya Petroleum au Civil ya UDSM au chuo chochote cha Serikali. ila ukipata ufaulu hafifu mfano PCM una P=D, C=D, M=C hapa nafasi yako ni finyu sana ukishindanishwa na wenzako kwa hiyo utakosa nafasi kwenye vyuo vya serikali ila kwa kuwa ndoto yako ni kuwa Engineer au Daktaria utajikuta nafasi zinazobakia ni kwenye vyuo vya binafsi kama St. Joseph na KIU zenye ada kubwa sana. NIwatie shime wadogo zetu wasome sana ili wapate nafasi kwenye vyuo vya serikali.

mkuu hata tupate one tz nzima hatuwez soma chuo kimoja nafasi ni chache mnoooo wenye pesa ndo wanasoma
 
mnaotaka kusoma japan muwe mnatembelea tovuti ya ubalozi wao kuna nafasi japo ni chache zinasaidia
 
Back
Top Bottom