FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,392
- 4,468
Wengi tunakumbuka mchezo maarufu wa TV wa MARTIN, uliokuwa ukionyweshwa kupitia ITV...wakati huo ndio TV pekee iliyokuwepo, hivyo ni wengi tulikuwa tunaangalia..mmoja ya Waigizaji wa MARTIN kati ya Watano amefariki dunia jumatano, tar 12/10....alikuwa maarufu kama Tom......R.I.P