GE2025 ACT yakataa gari alilopewa Mpina na INEC

GE2025 ACT yakataa gari alilopewa Mpina na INEC

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,481
Reaction score
14,844
Mwanasheria Mkuu wa ACT-Wazalendo, Omar Issa Shaaban, amesema chama hicho kimeamua kutopokea gari na walinzi, kwa kuwa kipo vizuri, na badala yake, Tume itumie gari hilo kwa matumizi mengine.

"Chama kimenielekeza nikwambie kwamba kwenye rasilimali ya gari tunashukuru tupo vizuri tunaomba litumike kwa matumizi mengine lakini ulinzi tupo tayari"

Ombi hilo limetolewa wakati Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama hicho, Luhaga Mpina alipokuwa akirejesha fomu za uteuzi kwenye ofisi za Tume leo Septemba 13, 2025
 
Ta
Mwanasheria Mkuu wa ACT-Wazalendo, Omar Issa Shaaban, amesema chama hicho kimeamua kutopokea gari na walinzi, kwa kuwa kipo vizuri, na badala yake, Tume itumie gari hilo kwa matumizi mengine.

Ombi hilo limetolewa wakati Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama hicho, Luhaga Mpina alipokuwa akirejesha fomu za uteuzi kwenye ofisi za Tume leo Septemba 13, 2025
Tangu lini mgombea nafasi ya uongozi nchi hii akakataa V8 ya hongo? Kuna namna fulani ya usanii hapa.... 😳

Iwapo Mwambukusi na umakini wake hakuwahi kuikataa V8 baada ya kuukwa urais wa TLS....nyie Wazalendo wa Mayi Mayi mna ajenda gani ya siri? 🤔🧐
 
Mwanasheria Mkuu wa ACT-Wazalendo, Omar Issa Shaaban, amesema chama hicho kimeamua kutopokea gari na walinzi, kwa kuwa kipo vizuri, na badala yake, Tume itumie gari hilo kwa matumizi mengine.

"Chama kimenielekeza nikwambie kwamba kwenye rasilimali ya gari tunashukuru tupo vizuri tunaomba litumike kwa matumizi mengine lakini ulinzi tupo tayari"

Ombi hilo limetolewa wakati Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama hicho, Luhaga Mpina alipokuwa akirejesha fomu za uteuzi kwenye ofisi za Tume leo Septemba 13, 2025
Hizi zote bado ni sinema zetu tu😂😂 .hakika ni za kwetu
 
Ta
Tangu lini mgombea nafasi ya uongozi nchi hii akakataa V8 ya hongo? Kuna namna fulani ya usanii hapa.... 😳

Iwapo Mwambukusi na umakini wake hakuwahi kuikataa V8 baada ya kuukwa urais wa TLS....nyie Wazalendo wa Mayi Mayi mna ajenda gani ya siri? 🤔🧐
Hivi TLS ni idara ya sirikali?
 
Wangeuza na Kununua Ambulance kadhaa kwa majimbo kadhaa hilo likirudi mlamba asali au walamba asali kadhaa wanajitwalia jasho letu (kodi)
 
Mwanasheria Mkuu wa ACT-Wazalendo, Omar Issa Shaaban, amesema chama hicho kimeamua kutopokea gari na walinzi, kwa kuwa kipo vizuri, na badala yake, Tume itumie gari hilo kwa matumizi mengine.

"Chama kimenielekeza nikwambie kwamba kwenye rasilimali ya gari tunashukuru tupo vizuri tunaomba litumike kwa matumizi mengine lakini ulinzi tupo tayari"

Ombi hilo limetolewa wakati Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama hicho, Luhaga Mpina alipokuwa akirejesha fomu za uteuzi kwenye ofisi za Tume leo Septemba 13, 2025
Waliotikisa vichwa 🤣🤣🤣

Zito atalifuata
 
Back
Top Bottom