ACT-Wazalendo yapewa siku 14 kujieleza kwanini isifutiwe usajili wa kudumu kwa kuvunja ‘Matakwa ya Sheria ya Vyama vya Siasa’

Wanaweza kufuta chama kwa maana ya majengo, bendera, rangi, sare, n,k lakini hawataweza kufuta kilichomo mioyoni mwa wananchi
 
Msajili kambeba Lipumba imeshindikana wameona CUF haina nguvu tena kaamia ACT-Wazalendo kwa kuogopa nguvu iliyopatikana siku chache baada ya kuungana na Maalimu Seif...haya mazingira anayoteyatengeneza msajili kuna siku watajilaumu na itakua wamechelewa kurudisha hali ilivyokua...
 
Ni kweli tz hatuna watu wenye uwezo wa kuandamana. Ila tuna watu WAOGA NA WANAFKI. And that is the truth.


Sent using Jamii Forums mobile app
Watz hawataki kutumiwa kwa maslahi ya watu wachache. Kumbuka Pemba waliuwawa na wengine wakakimbilia shimoni Mombasa lakini baadae Seif akapewa cheo na SMZ akatulia tuliiii na hajawahi kusema popote hata alipokuwa kwenye serikali ya maridhiano ya SMZ wakati ndugu wa waathirika wanasota tu.
 
Watz hawataki kutumiwa kwa maslahi ya watu wachache. Kumbuka Pemba waliuwawa na wengine wakakimbilia shimoni Mombasa lakini baadae Seif akapewa cheo na SMZ akatulia tuliiii na hajawahi kusema popote hata alipokuwa kwenye serikali ya maridhiano ya SMZ wakati ndugu wa waathirika wanasota tu.
Lol man usi act as if tz ndio itakuwa nchi ya kwanza kuandamana. Kuandama si vurugu.. kuna maandamano ya amani. Kama ya kule algeria kupinga rais Abdelaziz Bouteflika kugombea tena.
France waliandamana kupinga ongezeko la bei ya mafuta
Morocco waliwah kuandamana kutokana na hali ya maisha kuwa mbaya.
America na maendeleo yote wanaandamana kupinga baadhi ya vifungu vya sheria..

Na nchi nyingine pia..

Its not about politics.. ni right ya kila citizen kupinga kwa aman pale anapoona kuwa kuna sheria gandamizi. Nchi zote dunian zinafanya hiyo kitu.
Kuhusu kufa...watu wanakufa kila siku.. kila dakika..kila sekunde. Wether uandamane kupinga jambo fulan au lah.. when your time is up that it.
The only different is what are you dying for?

Mm silion kama ni suala la kisiasa ..eti wanaandamana sababu ya mtu fulani. Mbona cc wanaandama daily kumpongeza rais.. awaguswi.?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walizoea kuvunja sheria kwa kudhani kwenye siasa hakuna sheria? Kumbuka nchi hii magu kaikuta watu wanaishi kiholela hawajali sheria zilizotungwa na bunge ,watumishi wanakalia Ofisi kinyume cha sheria wengine hawakuwa hata vyeti halisi ni vyeti Vya kutengenezwa!!!!wanasiasa wengi walidhani yanaishia kuleeeeee!

Leo za ni zamu ya vyama Vya siasa kuziangalia sheria vizuri ili nao wakae kwenye msitari, act naomba leo kiongozi wa act wazalendo anijibu maswali haya,

1. Je sheria ya vyama Vya siasa haisemi bayari kwamba vyama Vya siasa viwe vinapeleka Hesabu zao zikiwa zimekaguliwa na mdhibiti na mkaguzi wa Hesabu za serikali?

2. Siyo kosa kwa chama cha siasa kutumia dini kwa mahali popote? Na ukitumia dini ukigundulika adhabu kwa chama hicho msajili anakifanyaje?

3. Je hizo Picha zinazorushwa kwenye Mtandao ya kijamii zionyesha wafuasi wa act wazalendo wakiwa wanachoma bendera za cuf ni za kutengenezwa ? Pia wewe ulikuwa mwenyekiti wa kamati ya PAC hukuona hatari na kuwa mfano bora kupeleka Hesabu za chama chako kwa CAG ili zikaguliwe kuwa mfano wa kuigwa kwa sababu ni msomi Mzuri tena mbobezi wa uchumi?

4. Kisha ujibu na LA mwisho, kama hoja za msajili wa vyama Vya siasa ni za kweli kwann unaanza kuita waandishi wa habari Ndiyo suluhisho la kisheria kwa waraka wa msajili wa vyama Vya siasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa wanasema watafuta chama chenu au cha wapigania haki wote including everybody who is class conscious. Alikuwa anakidharauACT kama chama kidogo kisichokuwa na athali, sasa nguvu ya Maalim Seif imewatisha, wamekuja kwako. Nadhani sasa utamuunga mkono sana Tundu Lisu. Utaona umuhimu wa haya anayoyasema ughaibuni! Utaona risasi 16/38 zinakuja kwako (Mungu epusha kwa mbali)
"An Injustice anywhere is a threat to injustice everywhere" as quoted by Tundu Lisu from Martin Luther King jr, 1963.
kwani Zitto alishawhi kumpinga Lissu? au umekosa cha kuandika?
 
Chama cha ACT WAZALENDO, kimepewa Siku 14 kijieleze kwanini kisifutiwe uanachama wake wa kudumu kutokana na kitendo chake cha kuendana kinyume na matakwa ya sheria ya usajili wa vyama vya siasa nchini.

Miongoni mwa mambo yanayokiweka hatarini chama hicho ni pamoja na kushindwa kuwasilisha kwa msajili wa vyama vya siasa hesabu zilizokaguliwa za chama hicho za mwaka 2014 sambamba na kitendo cha uvunjifu wa amani wa wanachama na viongozi wa chama hicho kukihusisha na masuala ya imani ya dini ya kiislam tofauti na taratibu na sheria za nchi.

View attachment 1053917
View attachment 1053918
Sijapatapo kuona mijitu mihasidi na roho mbaya kama jiwe na mtungi, yaani watu wako na furaha zao,wao tayari roho zinawatoka,Hasbiyallah,naona hawa viumbe wana damu ya firauni hawa si bure. Tanzania imekuwa ni nchi yenye watu wasio na furaha kumbe sababu ni hawa maluuni,wakiona watu wanafuraha ,wao tayari roho zinawatoka,Allah azidi kuwatia dhiki kwenye nafsi zenu za uhasidi muanguke kwa laana zenu mulozitengeza kwa mikono yenu,laanatullah.
 
Mbona CCM wanazunguuka sana wawe wazi kabisa kuwa wanamuogopa Maalim Seif, watu wajuwe sio kutafuta sababu zisizo na msingi kila siku
 
kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika TETESI hizi si za kweli na zinalenga kupata likes na comments nyingi sana kwakuwa zinagusa feelings na chuki za watu
Kwakuwa msajiri hana tatizo na sababu ya kukifuta chama cha ACT naomba tetesi hizi kwa wenye akili wazipuuzie
 
Msajili kambeba Lipumba imeshindikana wameona CUF haina nguvu tena kaamia ACT-Wazalendo kwa kuogopa nguvu iliyopatikana siku chache baada ya kuungana na Maalimu Seif...haya mazingira anayoteyatengeneza msajili kuna siku watajilaumu na itakua wamechelewa kurudisha hali ilivyokua...
Kusema kweli ni makosa kuchoma bendera ya chama hata kama umekihama, ni mali ya chama hata kama uliinunua kwa pesa zako. Itokee mtu toka taifa jingine achome bendera ya nchi yetu (Tz) kama tutamnyamazia! Hoja zinawataka wajieleze kwa mjibu wa sheria. Kuliacha jambo hili bila kulishughulikia kwa dhati tutaja mulaum msajili. Fikiri kama wafuasi watiifu kwa Lipumba wangepinga kwa nguvu kitendo cha kuchoma bendera yao nini kingetokea?
Tuheshimuni sheria zetu na tusiendeshwe mihemko zaidi bila hekima.
 
Back
Top Bottom