ACT-Wazalendo yapewa siku 14 kujieleza kwanini isifutiwe usajili wa kudumu kwa kuvunja ‘Matakwa ya Sheria ya Vyama vya Siasa’

Alosema amekifuta nani?? hamjui kusoma hata BARUA?? wamepewa siku 14 za kujitetea wasipojitetea Ni RUKSA KUFUTWA maana hata wao watakua wameridhia kwamba kweli wana KOSA ndio mana wameshindwa JITETEA...nafasi bado wanayo hiyo ni taarifa ya NIA ya msajili ila si kwamba tayari imetimiza NIA yake.

Mtoto anaekosea ni lazima aadhibiwe na ili nisimuadhibu ni lazima aniambie kwanini nisimuadhibu endapo atashindwa Hawezi nitishia kwa kuniambia ETI BABA UNANIONEA KISA MIMI MTOTO..nitamtandika tu tena BAKORA HASWAAA.
 
Chama cha ACT WAZALENDO, kimepewa Siku 14 kijieleze kwanini kisifutiwe uanachama wake wa kudumu kutokana na kitendo chake cha kuendana kinyume na matakwa ya sheria ya usajili wa vyama vya siasa nchini.

Miongoni mwa mambo yanayokiweka hatarini chama hicho ni pamoja na kushindwa kuwasilisha kwa msajili wa vyama vya siasa hesabu zilizokaguliwa za chama hicho za mwaka 2014 sambamba na kitendo cha uvunjifu wa amani wa wanachama na viongozi wa chama hicho kukihusisha na masuala ya imani ya dini ya kiislam tofauti na taratibu na sheria za nchi.

View attachment 1053917
View attachment 1053918

Watafuta chama lakini hawawezi kufuta imani na mapenzi ya chama ndani ya watu.

Kipindi choto walikuwa hawaoni? CCM yenyewe inamatatizo lukuki na yasiyovumilika.
 
Chama cha ACT WAZALENDO, kimepewa Siku 14 kijieleze kwanini kisifutiwe uanachama wake wa kudumu kutokana na kitendo chake cha kuendana kinyume na matakwa ya sheria ya usajili wa vyama vya siasa nchini.

Miongoni mwa mambo yanayokiweka hatarini chama hicho ni pamoja na kushindwa kuwasilisha kwa msajili wa vyama vya siasa hesabu zilizokaguliwa za chama hicho za mwaka 2014 sambamba na kitendo cha uvunjifu wa amani wa wanachama na viongozi wa chama hicho kukihusisha na masuala ya imani ya dini ya kiislam tofauti na taratibu na sheria za nchi.

View attachment 1053917
View attachment 1053918

Naona mwisho watafutwa wao wacha watoboe jahazi tuzame sote
 
Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika kutoka katika ofisi ya msajili wa vyama vya siasa, tayari chama cha ACT wazalendo, kimepelekewa barua na msajili ya kusudio la kukifuta chama cha hicho muda mfupi uliopita. Sababu za kupewa tishio hilo bado hazijabainika....
Sababu ni hizo hapo juu kama barua husika inavyojieleza. Wewe unataka Msajili azibainishe namna gani?
 
Tayari washaanza kuwatekenya...

Hivi huu uhuni utaisha lini Tanzania.. ni nani asiyejua kuwa takbir ni neno la kiarabu na si kiislam... ukaguzi wa mwaka 2014 kwanini udaiwe leo.. siku zote walikuwa wapi?

Kwamba watanzania wataendelea kuwa wapole hivhivi mpaka mwisho?? Kwanini mnapadikiza hasira kwa wananchi... mnataka kuvuna nini!!!

BACK TANGANYIKA

Sent using Jamii Forums mobile app
kuna kitu hakika wana kitafuta. Ila sijui kama wanajua kuwa kitakapo tokea wao ndi watakuwa kwenye hatari zaidi ya maisha kuliko watu wa kawaida wasio katika utawala. Acha waendelee kujidanganya, ila kule Rwanda mpaka waziri mkuu na famila yake yaliwakuta ya kusikitisha
 
Alosema amekifuta nani?? hamjui kusoma hata BARUA?? wamepewa siku 14 za kujitetea wasipojitetea Ni RUKSA KUFUTWA maana hata wao watakua wameridhia kwamba kweli wana KOSA ndio mana wameshindwa JITETEA...nafasi bado wanayo hiyo ni taarifa ya NIA ya msajili ila si kwamba tayari imetimiza NIA yake.

Mtoto anaekosea ni lazima aadhibiwe na ili nisimuadhibu ni lazima aniambie kwanini nisimuadhibu endapo atashindwa Hawezi nitishia kwa kuniambia ETI BABA UNANIONEA KISA MIMI MTOTO..nitamtandika tu tena BAKORA HASWAAA.
Baba unapoteza muda kuandika upuuzi tatizo la CCM ni Maalim Seif sasa keshawaachia chama na kaondoka na wafuasi wake wote na CUF ni kama imeshakufa! na Lipumba hana faida tena kwa ccm maana pale alipo hana wanachama wala ofisi, msisababishe matatizo zaidi maana ukifuta chama kimoja jua unaimarisha chama kingine kuna siku mtakuja kubaki na chama kimoja cha upinzani na hapo ndiyo mtaona nguvu ya wananchi. Kuna msemo "kuchamba kwingi..... "
 
Baba unapoteza muda kuandika upuuzi tatizo la CCM ni Maalim Seif sasa keshawaachia chama na kaondoka na wafuasi wake wote na CUF ni kama imeshakufa! na Lipumba hana faida tena kwa ccm maana pale alipo hana wanachama wala ofisi, msisababishe matatizo zaidi maana ukifuta chama kimoja jua unaimarisha chama kingine kuna siku mtakuja kubaki na chama kimoja cha upinzani na hapo ndiyo mtaona nguvu ya wananchi. Kuna msemo "kuchamba kwingi..... "
Yani ukiona hadi umejibu jUA SIO pumba...CUF ni kama imekufa ila HAIJAFA na HAITOKUFA we kaa hapo ukijidanganya...Lipumba hana Faida kwa ccm hata kabla ya maalim kuwa CUF...ccm na Lipumba wapi na wapi? usiandike usichokijua CUF saivi haina chama wala OFISI????? USIPENDE KUROPOKA BILA kutafuta Evidence ya unachokiongea...kwa akili yako ilivyo fupi kama mtungi wa oryx Unajua TZ kuna Chadema,Cuf na ccm tu?? RUDI kasome tena ujue kuna vyama vingapi hapa TZ...
 
kuna kitu hakika wana kitafuta. Ila sijui kama wanajua kuwa kitakapo tokea wao ndi watakuwa kwenye hatari zaidi ya maisha kuliko watu wa kawaida wasio katika utawala. Acha waendelee kujidanganya, ila kule Rwanda mpaka waziri mkuu na famila yake yaliwakuta ya kusikitisha
Kuna kauli ilishawahi kutamkwa miaka ya nyuma na kiongozi mmoja Sina hakika kama alikuwa Baba wa Taifa kwamba wapinzani ili washinde uchaguzi wanapaswa kuungana pamoja kwa dhati! kinachofanyika sasa Magufuri na CCM ndiyo wanawaunganisha. Inapaswa kufahamika wazi wananchi wana nguvu kubwa kuliko dola mifano ipo wazi ya Nicolae Caucescu, Slobodan Milosevic na yaliyomkuta Mugabe pale Zimbabwe
 
Huu ndio ujinga unaowasumbua nyinyi binadamu..mnaruka ukweli unaoelezwa mnakimbilia mambo mengine.oooh sijui nguvu mnayo ooh sijui wameshika dola..!! Sasa hii inahusianaje..?? Kwani sheria zinazozungumzwa zipo kweli au zimetungwa tu..msiwe wajinga wajameni! Kama kuna kosa limefanyika why not kuomba msamaha..why..mnaanza kujiegemeza kwwnye defense nyingine kabisaa ambayo hata mtu asiye na akili atajua tu ujinga mnaoufanya...??

Duh


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani ukiona hadi umejibu jUA SIO pumba...CUF ni kama imekufa ila HAIJAFA na HAITOKUFA we kaa hapo ukijidanganya...Lipumba hana Faida kwa ccm hata kabla ya maalim kuwa CUF...ccm na Lipumba wapi na wapi? usiandike usichokijua CUF saivi haina chama wala OFISI????? USIPENDE KUROPOKA BILA kutafuta Evidence ya unachokiongea...kwa akili yako ilivyo fupi kama mtungi wa oryx Unajua TZ kuna Chadema,Cuf na ccm tu?? RUDI kasome tena ujue kuna vyama vingapi hapa TZ...
Yani ukiona hadi umejibu jUA SIO pumba...CUF ni kama imekufa ila HAIJAFA na HAITOKUFA we kaa hapo ukijidanganya...Lipumba hana Faida kwa ccm hata kabla ya maalim kuwa CUF...ccm na Lipumba wapi na wapi? usiandike usichokijua CUF saivi haina chama wala OFISI????? USIPENDE KUROPOKA BILA kutafuta Evidence ya unachokiongea...kwa akili yako ilivyo fupi kama mtungi wa oryx Unajua TZ kuna Chadema,Cuf na ccm tu?? RUDI kasome tena ujue kuna vyama vingapi hapa TZ...
Sawa mimi nina akili fupi naona husomi history ya vyama vilivyopigania uhuru Afrika namna vilivyokufa/kuangushwa (ingawa ccm ni zao la Asp na Tanu) nitakutafuta ili nikukumbushe kwa yatakayotokea muda si mrefu
 
Wasilisheni hesabu za fedha za 2013/2014, Acheni kupotosha umma. Hiyo barua inajieleza vyema, hoja kwa hoja. Mnaleta vioja badala ya kujibu hoja. 1. Hesabu 2. Udini.
Hivi wamesahau wakati zitto alipokuwa mwenyekiti wa kamati ya bunge PAC alivyowakomalia chadema kwa kutowasilisha hesabu zao pamoja na yeye kuwa kiongozi was chadema sasa ni zamu yake apeleke mahesabu
 
Mambo mengine yanatokeankwa sababu,sasa msajili asipokua anafanya iyana na dhuruma kama hizo CCM itatoka madarakani lini,ili ccm iweze kuondoka madaraka lazima iongeze dhuruma kwa watu wake hapo ndo jamii inapata taharuki na kutambua nia ovu ya watawala na kuanza kuamka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmh, sasa hilo la pili sioni ushahidi uko wapi, hilo la kwanza linatatulika kirahisi, otherwise hizi ni fitna.
 
Back
Top Bottom