ACT-Wazalendo wazomewa Shinyanga

ACT-Wazalendo wazomewa Shinyanga

nawaonea huruma watanzania. mimi hata akiingia nani sitaathiriwa na chochote kwenye maisha yangu.pole kama hujui hilo.

Wacha kutudanganya wewe Abunuas,kila siku unashinda humu jamvini kwa kuifia ccm leo baada ya kuona mambo yameharibika ndio unajidai huna chama?pole sana ila ujue hiyo ndiyo siasa
 
Wacha kutudanganya wewe Abunuas,kila siku unashinda humu jamvini kwa kuifia ccm leo baada ya kuona mambo yameharibika ndio unajidai huna chama?pole sana ila ujue hiyo ndiyo siasa

mkuu hili suala la kuwa ccm nimelikana siku nyingi sana, kwanza ungejua ninavyoichukia ccm wala usingeandika haya humu. nimejiunga humu takriban miaka 5 sasa. angalia nimeanza kuchangia lini? hapo mwanzo nilikuwa msomaji tu, kuchangia kwangu kulianza rasmi baada ya wapinzani tuliokuwa tunawategemea kuanza kuleta mizengwe. Kufukuzwa kwa zitto kwa sababu tu alitaka kugombea uenyekiti wa chama kuliniudhi sana. unapozungumza chadema unawazungumza watu muhimu zaidi wawili. Zitto na Slaa. Hao ndo walioiuza chadema mitaani. lakini akina mbowe wamemfukuza Zitto as if alikuwa sio chochote. na wala hakupewa hata nafasi ya kujitetea kwenye vikao halali. waliokuta chadema imekomaa kama akina godless lema, tobo lisu waliotoka NCCR na TLP na kwengineko ndo wakawa na thamani kubwa kuliko wengine. kwa taarifa yako hiyo ndo sababu ya mimi kuandika humu. na kwa sasa naichukia zaidi chadema hii ya akina mbowe kuliko hata ccm.
kuachilia mbali kuwa kwa yeyote atakayekuja sitaathirika sana; lakinini pia uwezekano wa Magufuli kushinda ni 90%. lowasa na ukawa nawpa 10% tu.
sizungumzii percentage ya kura watakazopata nazungumzia probability. uelewe hilo.
na nakushauri uanze kujifanyia cancelling sasa hivi maaa usije ukafa na pressure bure.

Natamani nikumbuke ili nikukumbushe october baada ya uchaguzi.
 
mkuu hili suala la kuwa ccm nimelikana siku nyingi sana, kwanza ungejua ninavyichukia ccm wala usingeandika haya humu. nimejiunga humu takriban miaka 5 sasa. angalia nimeanza kuchangia lini? hapo mwanzo nilikuwa msomaji tu, kuchangia kwangu kulianza rasmi baada ya wapinzani tuliokuwa tunawategemea kuanza kuleta mizengwe. Kufumuzwa kwa zitto kwa sababu tu alitaka kugombea uenyekiti wa chama kuliniudhi sana. unapozungumza chadema unawazungumza watu muhimu zaidi wawili. Zitto na Slaa. Hao ndo walioiuza chadema mitaani. lakini akina mbowe wamemfukuza Zitto as if alikuwa sio chochote. na wala hakupewa hata nafasi ya kujitetea kwenye vikao halali. waliokuta chadema imekomaa kama akina godless lema, tobo lisu waliotoka NCCR na TLP na kwengineko ndo wakawa na thamani kisa kuliko wengine. kwa taarifa yako hiyo ndo sababu ya mimi kuandika humu.
kuachilia mbali kuwa kwa yeyote atakayekuja sitaathirika sana; lakinini pia uwezekano wa Magufuli kushinda ni 90%. lowasa na ukawa nawpa 10% tu.
sizungumzii percentage ya kura watakazopata nazungumzia probability. uelewe hilo.
na nakushauri uanze kujifanyia cancelling sasa hivi maaa usije ukafa na pressure bure.

Natamani nikumbuke ili nikukumbushe october baada ya uchaguzi.

Pole sana kwa kujivalisha joho la marehemu shekhe yahya,lkn naona wewe ndio umepotea kabisa,labda umegeuza kwa bahati mbaya ulichotaka kutuaminisha,kwa taarifa yako lowasa ndiyo rais wako,penda au kataa ingawa najua utakataa
 
mkuu hili suala la kuwa ccm nimelikana siku nyingi sana, kwanza ungejua ninavyoichukia ccm wala usingeandika haya humu. nimejiunga humu takriban miaka 5 sasa. angalia nimeanza kuchangia lini? hapo mwanzo nilikuwa msomaji tu, kuchangia kwangu kulianza rasmi baada ya wapinzani tuliokuwa tunawategemea kuanza kuleta mizengwe. Kufukuzwa kwa zitto kwa sababu tu alitaka kugombea uenyekiti wa chama kuliniudhi sana. unapozungumza chadema unawazungumza watu muhimu zaidi wawili. Zitto na Slaa. Hao ndo walioiuza chadema mitaani. lakini akina mbowe wamemfukuza Zitto as if alikuwa sio chochote. na wala hakupewa hata nafasi ya kujitetea kwenye vikao halali. waliokuta chadema imekomaa kama akina godless lema, tobo lisu waliotoka NCCR na TLP na kwengineko ndo wakawa na thamani kubwa kuliko wengine. kwa taarifa yako hiyo ndo sababu ya mimi kuandika humu. na kwa sasa naichukia zaidi chadema hii ya akina mbowe kuliko hata ccm.
kuachilia mbali kuwa kwa yeyote atakayekuja sitaathirika sana; lakinini pia uwezekano wa Magufuli kushinda ni 90%. lowasa na ukawa nawpa 10% tu.
sizungumzii percentage ya kura watakazopata nazungumzia probability. uelewe hilo.
na nakushauri uanze kujifanyia cancelling sasa hivi maaa usije ukafa na pressure bure.

Natamani nikumbuke ili nikukumbushe october baada ya uchaguzi.
Wakati magufuli ana 90% za ushindi El ana 100% za ushindi
 
Kwenye makubaliano ya wengi ukajifanya unakomaa na misimamo yako hamna jinsi bali watakuacha ubaki peke yako tu.
Haendi popote unless akubaliane na uhalisia wa sasa na kuingia kwenye muungano wa UKAWA.
Aendelee kukumbatia azimio lake ta Tabora.
Upepo unavumia UKAWA kwa sasa. Anachokipata huko mikoani ni roho ile ile aliyoipanda CDM wakaiona mapema waka DELETE.
You reap what you sow. Hamna formula ingine duniani kwa sasa inayo apply kwa ACT.
Kama hujanielewa niPM nikutumie notes.

Ati AZIMIO LA TABORA kwenye karne hii ya uchumi huria na digital world ya information technology
Yani ni sawa na kujifanya umevumbua gari la gear wakati tuko kwenye automation world
Maazimio yalikuwa ni oldest version ya uchumi shirikishi, kuwa tunaazimia kufanya hivi kwa pamoja unafanya kwa kufuata amri na mwongozo wa mtu mmoja.....Hili halipo tena siku hizi tunaazimia kufanya nini kwa pamoja huku tukiangalia kila mmoja ana nini kwenye nini
 
Pole sana kwa kujivalisha joho la marehemu shekhe yahya,lkn naona wewe ndio umepotea kabisa,labda umegeuza kwa bahati mbaya ulichotaka kutuaminisha,kwa taarifa yako lowasa ndiyo rais wako,penda au kataa ingawa najua utakataa
mkuu muda siku zote ni msema kweli. tusilumbane leo. tusubiri hiyo october maana sio mbala sana kivile.
 
Back
Top Bottom