ACT-Wazalendo wazomewa Shinyanga

ACT-Wazalendo wazomewa Shinyanga

Watu wengine hovyo sana wakimkaa tu huyu mwizi mara fisadi unaushaidi usiwe unaropoka tu!
 
Kwenye makubaliano ya wengi ukajifanya unakomaa na misimamo yako hamna jinsi bali watakuacha ubaki peke yako tu.
Haendi popote unless akubaliane na uhalisia wa sasa na kuingia kwenye muungano wa UKAWA.
Aendelee kukumbatia azimio lake ta Tabora.
Upepo unavumia UKAWA kwa sasa. Anachokipata huko mikoani ni roho ile ile aliyoipanda CDM wakaiona mapema waka DELETE.
You reap what you sow. Hamna formula ingine duniani kwa sasa inayo apply kwa ACT.
Kama hujanielewa niPM nikutumie notes.
 
Katika zomeazomea Mkuu wa Chama naye alikuwepo au aliwatanguliza kupima upepo?

Jamaa mjanja aliwatanguliza sweeper's, yeye akawa anachungulia kuangalia bomu litamlipukia nani!
 
Siasa ni watu, sasa kama sio lazima kupendwe na wote basi apendwe na wengi lakini inavionyesha kashaflisika kisiasa na bado mwaka huu atajuta.
 
Nashukuru kwa kulijua hilo kuwa kuna supu ya panya buku,nishaipata tayari,vipi ushshajiandaa kisaikolojia? Act wanazomewa kila kona ya nchi hii,ccm inazidi kuteketea sijui utakimbilia wapi

mwanzo nimgumu hatukatishi tamaa ACT mdogomdogo
 
Siasa ni watu, sasa kama sio lazima kupendwe na wote basi apendwe na wengi lakini inavionyesha kashaflisika kisiasa na bado mwaka huu atajuta.

Mkuu huo ndio ukweli ingawa ni mchungu kwa act
 
Tatizo hamtoi hoja, nikutukana tu, aina maana. Maswala ya baba yametoka wapi, kuweni watu wazima
 
Hali si shwari tena ndani ya ACT-Wazalendo mkoani Shinyanga baada ya wananchi kuamua kuwazomea viongozi wa ACT-Wazalendo waliokwenda kufanya mkutano wa kampeni.

Ni aibu sana kwa ACT-Wazalendo wanaojipambanua kupendwa hasa mikoa ya Magharibi.

Wajipange upya,walianza Geita wakaja Bukoba,wakaja Sumbawanga,wakaja Tunduma na sasa Shinyanga.

japo umeendaika uongo na uzushi hebu jibu hapo kwenye red! kampeni zishaanza? au unaota ndoto za alinacha? na ni kiongozi gani alikuwepo kwenye mkutano huo wa kuzomewa?
 
japo umeendaika uongo na uzushi hebu jibu hapo kwenye red! kampeni zishaanza? au unaota ndoto za alinacha? na ni kiongozi gani alikuwepo kwenye mkutano huo wa kuzomewa?

Kila chama kwa sasa kipo kwenye kampeini za kura za maoni,au wewe kampeni ni ya urais tu?juu ya viongozi gani waliozomewa hiyo siyo juu yangu,ila juwa kuwa act na viongozi wao mkoani shinyanga wamezomewa hadi wengine wakaamua kukimbia mkutano kwa kisingizio cha kuumwa
 
japo umeendaika uongo na uzushi hebu jibu hapo kwenye red! kampeni zishaanza? au unaota ndoto za alinacha? na ni kiongozi gani alikuwepo kwenye mkutano huo wa kuzomewa?

Kama kweli wewe upo karibu na act ebu mpigie kiongozi wako wa mkoa wa shinyanga atakwambia ukweli wa kilichotokea jana.
 
japo umeendaika uongo na uzushi hebu jibu hapo kwenye red! kampeni zishaanza? au unaota ndoto za alinacha? na ni kiongozi gani alikuwepo kwenye mkutano huo wa kuzomewa?

Kama kweli wewe ni mwana act ebu mpigie kiongozi wako wa mkoa wa shinyanga atakueleza kilicho wapata wenzako hapo shinyanga
 
Husije kujitia kitanzi mara baada ya kumtangaza mh Edward ngoyai lowasa kuwa rais wa jmt.
nawaonea huruma watanzania. mimi hata akiingia nani sitaathiriwa na chochote kwenye maisha yangu.pole kama hujui hilo.
 
Back
Top Bottom